lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Benki Kuu ya Tanzania tafadhalini ingililieni kati madeni ya watu wanayodaiwa na benki kwa muda hata wa miezi 3 tu.
Kuna mameneja wa baadhi ya bank sio waminifu hawataki kuwasikiliza wateja wao wanaodaiwa hata kipindi hiki cha huu ugonjwa wa Corona.
Kuna baadhi ya watu unakuta walikuwa wanadaiwa Tsh. milion 400 wamelipa Tsh. milioni 390 imebaki milion 10 tu lakini mameneja wa benki wanataka kuuza mali za mteja.
Kuna mameneja wa baadhi ya bank sio waminifu hawataki kuwasikiliza wateja wao wanaodaiwa hata kipindi hiki cha huu ugonjwa wa Corona.
Kuna baadhi ya watu unakuta walikuwa wanadaiwa Tsh. milion 400 wamelipa Tsh. milioni 390 imebaki milion 10 tu lakini mameneja wa benki wanataka kuuza mali za mteja.