Benki Kuu ya Tanzania, liangalieni Hili la D9 Club, Rwanda wamepigwa Marufuku

Apa Tanzania, elimu yetu ina mashaka sana. Kama wasomi wengi wangejiingiza 40% katika kilimo na ufugaji kwa kutumia technology tungekuwa mbali sana. Lakini kwa kuwa tunapenda mambo ya mteerezo mteerezo. Kuna faida kubwa sana kama kila mtu angeejiingiza katika ujasiliamali wa kilimo na ufugaji. Lakini huuu upuuzi wa sijui D9, ONE COIN, BIT COIN na vinginevyo vitatokea puani
BOT TANZANIA kaeni kimiya ivyo ivyo ili tupigwe kisawa sawa. Kama matajiri wetu wengi ni makanjanja, mtu ana miliki pesa lakini vyanzo vya mapato avionekaniki mfano awo mapedesheee waliokuwa wanamwaga pesa katika kumbi za starehe serikali ilikuwa inakausha bila kufatilia
Wasomi wazima wanaingizwa chaka,alafu hzo d9 sjui bitcoin kwanza hwmawana hata ofisi kukutana nao ni juu kwa juu tu....mtu mwenye akili timamu Lazima atajiulizaaa kuwa hapa mbele kuna maumivu

Ova
 
Tofauti ya viongozi wa Rwanda na wenzao wa EAC ni kwamba wao (Rwanda) ni wachapa kazi na wana weledi katika kazi zao huku wakilinda mali za nchi yao. Viongozi wetu sie wamekalia wizi na wengi wao hawajuwi wajibu wao, tofauti ipo hapa.
 
Back
Top Bottom