Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,092
SafiBOT wanapaswa kulinda thamani ya pesa kwa kudhibiti mfumuko wa bei, kuhibiti kushuka kwa thamani (exchange rare) ili pesa ithaminiwe
Pesa ikiwa na thamani itajilinda yenyewe
Guud..I think hawa jamaa wanatajaga vifungu vya uongo coz wanajuaa watz co wafuatiliaji na wala hawatosomaItakua nasoma Penal Code ya zamani maana hii niliyo nayo mimi haina hicho kifungu cha 322A bali ina kifungu cha 322 tu ambayo inatamka itakua ni kosa kwa mtu kuwasha moto kitu chochote kike kinachoweza kuwaka moto
dola za 'Simba trust' zilimchanganya.Jk alikuwa anaita za Madafu hadharani
Kutunza na kudhihaki ni vitu viwili tofauti, usiwe mvivu Wa kufikiri, kichwa umefugia nywele?Mimi nadhani iikuwa ni sehemu ya utamaduni wetu kumtunza MTU note pesa kama kitu cha thamani.Mtafunga wangapi!?Tuweke mstari tuanze upya baada ya elimu BOT.