Benki kuu: Nchi ina fedha za kigeni za kutosha hata kama shughuli za uzalishaji zitasimama kwa miezi sita!

Mungu aendelee kumuhifadhi JPM mahari pema peponi katuachia hela ya kutosha Bank kwa juhudu zake za kukusanya kodi...ngoja tuone huyu anaeona kodi ni jambo la kubembeleza wakati kodi si swala la hiyari ...ni jambo la lazima ndo maana hata Mungu hakuingilia kabisa maswala ya kodi kwani Yesu alishindwa kusema msilipe kodi au mkajadiliane na kaisari kulipa kodi
Wewe jamaa ni mjinga sana (samahani kwa kukuita hivyo) .kukusanya kodi kwa kutumia nguvu bila akili utakusanya fedha kidogo sana kwasababu walipa kodi wengi watakuwa waoga na wengine hawatafanya biashara kabisa.ukitumia akili utakuwa na walipa kodi wengi na utakusanya fedha nyingi.
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Ingekuwa hivyo, ndiyo hiyo serikali ishindwe kuwalipa nyongeza za mishahara, ambayo ni kwa mujibu wa sheria kwa miaka 5 mfululizo??
 
Ndugu kwa nchi za Kiafrica ukifanya hvyo jua huwezi kulipa mishahara watumishi wa umma haya hawa wengine wanakubali je wanajeshi watakubali ?? Swala la kodi hakuna sehemu yeyote ambayo kodi inakusanywa kwa kubembeleza nitajie nchi moja tu .. wenzetu tena wana sheria kali za kodi tena ni fedhea kwa wenzetu ukijulikana umekwepa kodi lakini huku wakwepa kodi wanaonekana wajanja .
Ni kweli kwa wenzetu Ulaya nk kodi si ya kubembelezana lakini pia kodi kila mtu analipa hakuna sekta isiyo rasmi inayobweteka. Hivyo wigo ni mpana lakini pia mifumo iko imara, madhubuti na ya wazi na imetengenezwa kulipa kodi bila shuruti kwa kwa viwango rafiki. Maafisa wa kodi ni waadilifu. Hapa kwetu tofauti.
 
Kinadharia walio soma uchumi wanajua kuwa ni shariti kwa nchi yeyote ile iwe na reserve ya pesa za kijeni ya kujiendesha kwa muda wa miezi sita,kwa hiyo hilo ni takwa la kisheria na nilazima,,ili kujua hiyo pesa ipo au haipo angalia janga la korona lilipo tokea serikali ilifanya jitihada gani kusaidia wananchi wake!!!!!! Kenya,Uganda na Rwanda sehemu ya hiyo reserve ilitumika kipindi Cha korona.kusema tu serikali ina reserve ya miezi sita inaweza kuwa blaa blaa Kama tulishindwa kununua mashine za dharura za kupima corona hata ziwepo kwa kila mkoa.
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Mmeanza tena mapropanganda yenu ya kitoto afu baadae mnapata aibu hamjifunzi kuwa wakweli
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Hata siwaamini viongoz wetu hata magu mlisema ni mzima
 
Kinadharia walio soma uchumi wanajua kuwa ni shariti kwa nchi yeyote ile iwe na reserve ya pesa za kijeni ya kujiendesha kwa muda wa miezi sita,kwa hiyo hilo ni takwa la kisheria na nilazima,,ili kujua hiyo pesa ipo au haipo angalia janga la korona lilipo tokea serikali ilifanya jitihada gani kusaidia wananchi wake!!!!!! Kenya,Uganda na Rwanda sehemu ya hiyo reserve ilitumika kipindi Cha korona.kusema tu serikali ina reserve ya miezi sita inaweza kuwa blaa blaa Kama tulishindwa kununua mashine za dharura za kupima corona hata ziwepo kwa kila mkoa.
Basi tu, ni bahati yetu nzuri, ambayo hadi sasa hatuna maelezo juu yake; vinginevyo Corona ingechachamaa kama huko kwingine nchi yetu ingeaibika vibaya sana.

Magufuli kapiga danadana kuficha hali mbaya ya kutokuwa na uwezo wa kulikabili gonjwa, kama alivyokuwa hana uwezo wa kuwaliwaza wafanya kazi wake miaka mitano mfululizo!
 
Wameanza uongo wao. Hivi nchi yetu ina reserve ya mafuta ya kutosha muda gani bila kuagiza?
 
Aliacha hakuna kitu, serikali ilikuwa inakopa kwa wafanyabiashara kina rostam!
Safari kila uchao unadhani fedha za kigeni zitabaki?
Hao wafanyabiashara wana mfuko mpana kiasi gani?
Huyo Rostam ina maana alikuwa anakopwa tu halipwi? —Si angefirisika?.

Na pia labda hujui Rostam alikimbia nchi lini hadi ulete stori hizi za vijiweni

Wastani wa Makusanyo ya mwezi kipindi cha JK ilikuwa shilingi bilion 850, na kila mwaka tulikuwa tunatoa ajira kedekede, kupandisha kima cha chini, kulipa makimbikizo ya wafanyakazi etc. Sasa kama serikali ilikuwa haina hela hao waliokuwa wanaajiriwa maelfu kwa maelfu hela ya kuwalipa ilitoka wapi?
 
Kuwa na akiba iliyorundikana benki bila kuzunguka hakuna faida yoyote kwa yeyote bali ni hasara kubwa kwa wananchi. Hiyo hutumika kama dhamana za benki kuweza kuiingiza nchi kwenye hasara za kukopa zaidi.
Ulichokiandika sio sahihi,

Ni takwa la kisheria kwa nchi kuwa na akiba kwa ajili ya dharura pindi yanapotokea majanga ya aina flani.

Wenzetu huwa wanaweka akiba ya fedha na dhahabu,

Mzunguko wa fedha ni swala tofauti na akiba ya aina hii.
 
Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.

Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.

Source: ITV habari
Aaaaaaaaaaaaaaa........miezi 6 tu, nilifikili kwa mwaka 1

Miezi 6 ni muda mchache sana😆😆😆😆
 
Mimi huwa nasikitika sana nikisikia kiongozi au mtaalamu anaongea namna hii inasikitisha sana kwa kweli, anajuwa madhara yake? hiyo pesa ikipungua kwa miezi miwili tu Tsh itaanza kupoteza thamani kiwango cha lami mpaka ufike hiyo miezi sita basi tutakuwa tunafungia vitumbua haina thamani. Ukiona unatumia akiba basi ujuwe hali ni mbaya na inaleta mshtuko katika uchumi sasa hizi kauli ni mbaya sana kuongelewa na nani alimuuliza? kuna haja gani ya kuongea au wasiwasi wa nini? mimi nadhani kuna watu wamezipitia huko sababu kauli ya kijinga sana tena naibu Gov. ujinga mtupu
 
Wewe jamaa ni mjinga sana (samahani kwa kukuita hivyo) .kukusanya kodi kwa kutumia nguvu bila akili utakusanya fedha kidogo sana kwasababu walipa kodi wengi watakuwa waoga na wengine hawatafanya biashara kabisa.ukitumia akili utakuwa na walipa kodi wengi na utakusanya fedha nyingi.
Wewe ndio njinga,nitajie nchi gani iliyoendelea inayobembereza mfanyabiashara kulipa kodi?tena nchi kama china ukibainika unakwepa kodi unanyongwa kabasa,Italy, Marekani na baadhi ya mataifa ya ulaya ukibainika kukwepa kodi unafungwa na kufirisiwa.Ni Tanzania tu inayobembereza mfanyabiashara kulipa kodi watakavyojisikia.
 
Ndugu kwa nchi za Kiafrica ukifanya hvyo jua huwezi kulipa mishahara watumishi wa umma haya hawa wengine wanakubali je wanajeshi watakubali ?? Swala la kodi hakuna sehemu yeyote ambayo kodi inakusanywa kwa kubembeleza nitajie nchi moja tu .. wenzetu tena wana sheria kali za kodi tena ni fedhea kwa wenzetu ukijulikana umekwepa kodi lakini huku wakwepa kodi wanaonekana wajanja .

Wapi kasema kubembeleza? Kutumia akili ni kubembeleza. Kama unatumia nguvu kuliko akili wapishe wengine wakuonyeshe faida ya akili.
 
Wewe ndio njinga,nitajie nchi gani iliyoendelea inayobembereza mfanyabiashara kulipa kodi?tena nchi kama china ukibainika unakwepa kodi unanyongwa kabasa,Italy, Marekani na baadhi ya mataifa ya ulaya ukibainika kukwepa kodi unafungwa na kufirisiwa.Ni Tanzania tu inayobembereza mfanyabiashara kulipa kodi watakavyojisikia.
Nani anabembelezwa kulipa kodi? Tunazungumzia mechanisms zinazotumika kukusanya kodi hatuzungumzii mambo ya kubembeleza. Kutumia nguvu kufunga akaunti za wafanyabiashara au kuwapigia hesabu ambazo halizingani na turnovers katika biashara hapo mzee unaua walipa kodi siyo unaongeza. Nisuala la kutumia akili tu
 
Back
Top Bottom