Shirikisho la Mashirika na vyama vinavyotetea masuala ya Makazi Tanzania (HAFOTA) wamesema wanaandaa mpango wa kuzibana benki kubwa kupunguza riba na kuongeza muda wa marejesho mpaka miaka 15.
Kwa mfano kama ukikopa Million 60, utalipa kama elfu 40 kwa mwezi. Hivyo basi, kila mtanzania ataweza kujenga nyumba bora.
Nawashauri hao Hafota waanzishe Petition, wapate Signature za watu wengi na hiyo itakuwa msukumo mkubwa sana. Kila atakaesaini aseme analipwa mshahara shs ngapi kwa mwezi na ataweza kurejesha kiasi gani kwa mwezi.
Wadau, toeni maoni Na kama mna mawasiliano na hao Hafota tafadhali wasilisha.
Kwa mfano kama ukikopa Million 60, utalipa kama elfu 40 kwa mwezi. Hivyo basi, kila mtanzania ataweza kujenga nyumba bora.
Nawashauri hao Hafota waanzishe Petition, wapate Signature za watu wengi na hiyo itakuwa msukumo mkubwa sana. Kila atakaesaini aseme analipwa mshahara shs ngapi kwa mwezi na ataweza kurejesha kiasi gani kwa mwezi.
Wadau, toeni maoni Na kama mna mawasiliano na hao Hafota tafadhali wasilisha.