Begumisa Kanyabiango
Member
- Sep 27, 2019
- 17
- 7
Habari wanajukwaa samahani naomba mbisaidie kuna ndugu yangu alienda kuomba mkopo Bank akapeleka nyaraka zake za kazini, yaani mkataba wa ajira pamoja na salary slips.
Sasa Bank ikaanza kumpeleleza katika eneo la kazi kitendo kilichopelekea kugundulika kwa wafanyakazi wenzake kuwa anataka kuchukua mkopo.
Je hii ni sawa mimi naona kama sio sawa maana ni kama Bank imevujisha taarifa za mteja wake au nyie mnaonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Bank ikaanza kumpeleleza katika eneo la kazi kitendo kilichopelekea kugundulika kwa wafanyakazi wenzake kuwa anataka kuchukua mkopo.
Je hii ni sawa mimi naona kama sio sawa maana ni kama Bank imevujisha taarifa za mteja wake au nyie mnaonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app