Benki yeyote. Ila wengi wanapendelea CRDB na NMB.Habari wana jamvi
Naomba msaada wa kuelezwa, ni benki gani hutumika haswa na Walimu kwa ajili ya kupokelea mshahara pindi anapoajiriwa
Habari wana jamvi
Naomba msaada wa kuelezwa, ni benki gani hutumika haswa na Walimu kwa ajili ya kupokelea mshahara pindi anapoajiriwa
.