Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Wadau naomba msaada,; Je ni benki gani nchini inaongoza kwakuwa na huduma bora katika maeneo yafuatayo?
1. Urahisi wa kufungua akaunti (hakuna mashartimengi). Kuna rafiki yangu alienda kufungua akaunti benki moja, moja ya mashartialiyopewa ni kuwasilisha salary slip
2. Utoaji wa mikopo yenye riba nafuu na upatikanaji wake kwa muda mfupi
3. Huduma kwa wateja (customer care).
4. Kiasi cha makato ya kuhudumia akaunti kwa mwezi ( monthly charges)
5. Kiasi cha makato unapotoa fedha; nk