Youth champion
Member
- Feb 12, 2020
- 66
- 84
Habari za uzima wanaJF,
nimekuwa mdau wa kufuatilia taarira mbali mbali za baadhi ya wafanya biashara wa Tz wakiwa wanalalamika juu ya Benki za Tz kwamba wanafatilia sana pesa zako benki , kuna amount flan flani ukiwa unaweka wanakuita na ujieleze pesa unazitoa wapi !!!
so, soon kuna business nataka kuifanya na inaingiza pesa nyingi sana but nahitaji kufungua account ya benki nje ya Tz ,
Naombeni anaefahamu benki nzuri za Nje ya Tz kwaajili ya kuhifadhia pesa zako anipe maelezo hapa Chini
nimekuwa mdau wa kufuatilia taarira mbali mbali za baadhi ya wafanya biashara wa Tz wakiwa wanalalamika juu ya Benki za Tz kwamba wanafatilia sana pesa zako benki , kuna amount flan flani ukiwa unaweka wanakuita na ujieleze pesa unazitoa wapi !!!
so, soon kuna business nataka kuifanya na inaingiza pesa nyingi sana but nahitaji kufungua account ya benki nje ya Tz ,
Naombeni anaefahamu benki nzuri za Nje ya Tz kwaajili ya kuhifadhia pesa zako anipe maelezo hapa Chini