TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Watu wameanza kushuku juu ya kifo hiki na hasa ukizingatia yajayo hayafurahishi...
Watanzania tunajua ramli chonganishi...hapa JF upo uzi wenye wachangiaji wengi sana wa Benjamin Mkapa "kumuua" JK Nyerere...bila shaka wameishakutana huko na kumalizana wenyewe tuliobaki tunatengeneza fitna nyingine.

A vicious cycle is a negative series of events that build on and reinforce each other. If you can't get a job without experience, but you can't get experience without a job, then you are in a vicious cycle.
 
Umekufa lkn mateso uliowaachia waja wa Mungu kwa kuwaletea hyu mtu, Mungu na azidi kukuongezea adhabu ya kaburi.
Hapana, huyu aliyopo na aliyemleta kwenye mbeleko ndo wapewe adhabu ya kaburi maana kifo cha marehemu kilitokana na kutochukua tahadhari dhidi ya covid-19 kwa kuamini uongo wa aliyopo kuwa gonjwa hilo limekwisha. Siku aliyopo madarakani anaapishwa kule Dodoma, waalikwa wote toka nchi za nje ikiwa ni pamoja na Rais Museveni na Mabalozi walivaa Barakoa kujikinga na hilo gonjwa kwa sababu hawadanganyiki.

Mwakilishi wa Rais wa Botswana akiwa amevaa Barakoa ya nguvu alizungumza vizuri sana aliposema mwalikwa Rais wake hakuja kwa sababu angekuja asingeweza kutoa hotuba muhimu maana ingebidi akae karantini siku 14. Aliongeza kuwa hata yeye anatakiwa kuwa Bungeni wiki iliyofuata lakini hatahudhuria vikao vya mwanzo maana atakuwa kwenye karantini akirudi tu.

Hii inaonyesha kuwa licha ya kujisifu na kusifu kuwa tumefanikiwa kudhibiti covid-19, majirani zetu na walimwengu kwa jumla wanajua ukweli ndo maana kati ya nchi 8 tunazopakana nazo, ni Rais mmoja tu ndo alikuja kushuhudia mwenzake anaapishwa. Madege yamejaa, watalii hawaji, vivutio vya utalii tele, wafanyakazi wa Utalii wanalia njaa, sababu? Wa nje ya mipaka yetu hawadanganyiki!
 
Hapana, huyu aliyopo na aliyemleta kwenye mbeleko ndo wapewe adhabu ya kaburi maana kifo cha marehemu kilitokana na kutochukua tahadhari dhidi ya covid-19 kwa kuamini uongo wa aliyopo kuwa gonjwa hilo limekwisha. Siku aliyopo madarakani anaapishwa kule Dodoma, waalikwa wote toka nchi za nje ikiwa ni pamoja na Rais Museveni na Mabalozi walivaa Barakoa kujikinga na hilo gonjwa kwa sababu hawadanganyiki....
Mwana wa lupaso ndo aliefosi jina la huyu kupita kule dom.
 
Hapana, huyu aliyopo na aliyemleta kwenye mbeleko ndo wapewe adhabu ya kaburi maana kifo cha marehemu kilitokana na kutochukua tahadhari dhidi ya covid-19 kwa kuamini uongo wa aliyopo kuwa gonjwa hilo limekwisha. Siku aliyopo madarakani anaapishwa kule Dodoma, waalikwa wote toka nchi za nje ikiwa ni pamoja na Rais Museveni na Mabalozi walivaa Barakoa kujikinga na hilo gonjwa kwa sababu hawadanganyiki...
So ni dhahiri kabisa kuwa wanayoyapitia watz kwa sasa muasisi wake ni lupaso.
 
Pole kwa familia pole kwa taifa kwaujumla nawapa pole wote mlioguswa na msiba mzito
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom