Ccm inasifa ya ku manage stress ndani ya chama haijaanza leo kufukuza. Ilimshusha mzee Abdul Jumbe kwenye urais na kumuweka kando chama kilisafiri bila shida.Maalimu Seif alikuzwa chama kilibaki poa.Mrema aliondoka chama kilibaki chuma. Lowassa na Sumaye walitoroka chuma kilibaki chuma.Sembuse Membe kufikia jumatatu itakuwa story.No impactUelewi chochote kuhusu ccm, bora ukae kimya, kwani ccm ilianza kumfukuza Camillius tu au kipindi cha awamu ya tano?
Mlimisifia sana kwamba awezi kuhojiwa mbele ya kamati mkadiriki kusema awezi kuchukuliwa hatua yoyote ndani ya chama, kapigeni nae picha kama mnampenda.
Kabisa mkuuCcm inasifa ya ku manage stress ndani ya chama haijaanza leo kufukuza. Ilimshusha mzee Abdul Jumbe kwenye urais na kumuweka kando chama kilisafiri bila shida.Maalimu Seif alikuzwa chama kilibaki poa.Mrema aliondoka chama kilibaki chuma. Lowassa na Sumaye walitoroka chuma kilibaki chuma.Sembuse Membe kufikia jumatatu itakuwa story.No impact
Lowassa hakuwa na lengo la kuuwa ccm , yeye alichotaka ni Urais tu , Membe kama hakuuawa ataivunjilia mbali ccmKabisa mkuu
Nakubaliana na wewe, Camillius uwezi kumlinganisha na nguvu za lowassa 2015.
Ccm ya Baba wa Taifa ni tofauti na ya baada ya Baba wa TaifaCcm inasifa ya ku manage stress ndani ya chama haijaanza leo kufukuza. Ilimshusha mzee Abdul Jumbe kwenye urais na kumuweka kando chama kilisafiri bila shida.Maalimu Seif alikuzwa chama kilibaki poa.Mrema aliondoka chama kilibaki chuma. Lowassa na Sumaye walitoroka chuma kilibaki chuma.Sembuse Membe kufikia jumatatu itakuwa story.No impact
Huwajui ccm weweMakosa yalifanyika tangu 2015 na kwa makosa haya Mkapa anastahili kulaumiwa najua anajua kuwa alikosea.
Lakini kuweni makini hasa ww Jk sababu atakayefata kufukuzwa CCM ni ww na Mkapa na akishamaliza basi atatawala milele
Kama kuna kitu mnaweza kufanya basi fanyeni sasa mkiwa bado mnanguvu
nb: kuna kufukuzwa uanachama na kufukuzwa duniani.
Kuhusu mkapa nishasemaga mda kidogoMakosa yalifanyika tangu 2015 na kwa makosa haya Mkapa anastahili kulaumiwa najua anajua kuwa alikosea.
Lakini kuweni makini hasa ww Jk sababu atakayefata kufukuzwa CCM ni ww na Mkapa na akishamaliza basi atatawala milele
Kama kuna kitu mnaweza kufanya basi fanyeni sasa mkiwa bado mnanguvu
nb: kuna kufukuzwa uanachama na kufukuzwa duniani.
Kabisa mkuuCcm inasifa ya ku manage stress ndani ya chama haijaanza leo kufukuza. Ilimshusha mzee Abdul Jumbe kwenye urais na kumuweka kando chama kilisafiri bila shida.Maalimu Seif alikuzwa chama kilibaki poa.Mrema aliondoka chama kilibaki chuma. Lowassa na Sumaye walitoroka chuma kilibaki chuma.Sembuse Membe kufikia jumatatu itakuwa story.No impact
Teh teh tehLowassa hakuwa na lengo la kuuwa ccm , yeye alichotaka ni Urais tu , Membe kama hakuuawa ataivunjilia mbali ccm
Lowassa hakuwa na lengo la kuuwa ccm , yeye alichotaka ni Urais tu , Membe kama hakuuawa ataivunjilia mbali ccm