Kwa vyovyote vile nchi yetu imetumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa masuala ya sheria mbovu za uwekezaji na uchimbaji wa madini kwa kutokawa na kiongozi makini na madhubuti. Huyu si mwingine ambaye ndiye CHANZO cha matatizo na migogoro ambayo leo Rais wetu mpendwa Dr. John Magufuli anapambana kuitatua.
Huyu ni Ben Mkapa ambaye alikuwa rais wa tatu wa Tanzania ambaye alikuja na Sera za ubinafsishaji na uwekezaji zenye sheria mbovu kabisa.
Kwa bahati mbaya zaidi hakutaka kusikia wala kushauriwa lolote kuhusu Sera na sheria mbovu za uwekezaji na uchimbaji wa Madini.
Nampongeza Dr. Magufuli kwa hatua njema na tuko pamoja nae katika kuondoa unyonyaji huu dhalimu uliotufikisha hapa.
Mhe Mkapa ni vema ukatuomba ardhi wa Tanzania kwa madhila haya uliyoteletea katika nchi yetu.
Baadhi yetu tunasema oooh ccm ndo imetufikisha hapa. Swali ni je kwani Magufuli sio ccm ambaye sasa anachukua hatua?
Tatizo ni watu si chama.
Huyu ni Ben Mkapa ambaye alikuwa rais wa tatu wa Tanzania ambaye alikuja na Sera za ubinafsishaji na uwekezaji zenye sheria mbovu kabisa.
Kwa bahati mbaya zaidi hakutaka kusikia wala kushauriwa lolote kuhusu Sera na sheria mbovu za uwekezaji na uchimbaji wa Madini.
Nampongeza Dr. Magufuli kwa hatua njema na tuko pamoja nae katika kuondoa unyonyaji huu dhalimu uliotufikisha hapa.
Mhe Mkapa ni vema ukatuomba ardhi wa Tanzania kwa madhila haya uliyoteletea katika nchi yetu.
Baadhi yetu tunasema oooh ccm ndo imetufikisha hapa. Swali ni je kwani Magufuli sio ccm ambaye sasa anachukua hatua?
Tatizo ni watu si chama.