DJ CHOKA FREDY
Member
- Apr 9, 2011
- 38
- 3
JK yuko MZA na muda huu kaelekea kufungua barabara inayoelekea Geita kupitia Busisi'
Ila cha ajabu ni kuwa baadhi ya bendera za CHADEMA zimezagaa sana barabarani kuashiria kuwa ni ishara ya ngome ya CHADEMA au nini??? bado sijapata jibu, na hili JK kaliona kiasi cha kumfanya afunge vioo vya gari lake la msafara lililokuwa limembeba,
Mimi nilidhani kuwa kwa kuwa tangu atoke MZA kipind cha uchaguzi hajarud hadi leo hii angeweza kuutumia mda huu kufungua vioo vya gari lake na kuwapungia wananchi mkono kwa kuwashukuru kwa kumpa kura nyingi kama walivyodai NEC lakini hajafanya hivyo, mie ni mwananchi wa jimbo la Nyamagana na kipindi cha uchaguzi alishuka kwenye magari na kuwakumbatia wananchi, ila leo sijaona hayo asubuhi hii...
Swali je,
Au kwakuwa majimbo yote ya MZA yameenda upinzani?
Au kwakuwa bendera za CHADEMA zilizagaa barabarani?
Au kwakuwa anajua kura zilichakachuliwa?
Au kwakuwa anajua alichokuwa anakitafuta kashakipata na hana haja ya kushukuru?
Ila cha ajabu ni kuwa baadhi ya bendera za CHADEMA zimezagaa sana barabarani kuashiria kuwa ni ishara ya ngome ya CHADEMA au nini??? bado sijapata jibu, na hili JK kaliona kiasi cha kumfanya afunge vioo vya gari lake la msafara lililokuwa limembeba,
Mimi nilidhani kuwa kwa kuwa tangu atoke MZA kipind cha uchaguzi hajarud hadi leo hii angeweza kuutumia mda huu kufungua vioo vya gari lake na kuwapungia wananchi mkono kwa kuwashukuru kwa kumpa kura nyingi kama walivyodai NEC lakini hajafanya hivyo, mie ni mwananchi wa jimbo la Nyamagana na kipindi cha uchaguzi alishuka kwenye magari na kuwakumbatia wananchi, ila leo sijaona hayo asubuhi hii...
Swali je,
Au kwakuwa majimbo yote ya MZA yameenda upinzani?
Au kwakuwa bendera za CHADEMA zilizagaa barabarani?
Au kwakuwa anajua kura zilichakachuliwa?
Au kwakuwa anajua alichokuwa anakitafuta kashakipata na hana haja ya kushukuru?