Usiku wa kuamkia leo katika mtaa wa makao mapya mjini Arusha, bendera na vipeperushi vyote vya Chadema vilivyokuwa vikipepea vimeibwa na watu wasiojulikana...!!! Nimepita eneo hilo leo asubuhi kwenda kazini na kushuhudia hali halisi. Pia niliongea na baadhi ya wakazi/wafanyabiasha wa mtaa huo kwa kina zaidi kulikoni, jibu likawa hilo hilo - bendera zote za Chadema zimeibwa !!!!
Kifo cha Nyani , .............. !!!!!!
Kifo cha Nyani , .............. !!!!!!