First Eleven
Member
- Apr 2, 2011
- 20
- 1
Wakati nikiwa naelekea town hapa Dar niliona Bendera za CCM zikipamba baadhi ya barabara. Mwenye taarifa naomba atujuze. Kulikuwa na maandamano ya CCM au Vikao vya CCM.
NB: Japo najuta kutawaliwa na CCM ni vizuri pia kujua wanafanya nini.
NB: Japo najuta kutawaliwa na CCM ni vizuri pia kujua wanafanya nini.