Bendera ya Tanzania kwenye Meli ya Iran: Msimamo wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.

zanzibar huru

JF-Expert Member
May 28, 2012
218
108
Nilitegemea leo asubuhi baada ya kupata taarifa kamili toka foreign,SMZ, Ubalozi wa USA, State department na Ubalozi wa Iran, Chama kikuu cha upinzani Tanzania wangekuwa wanazunguka kwenye vyombo vya habari kutoa msimamo wao au kama vipi wangeita press conference kuzungumzia msimamo wao juu ya suala hili na mambo mengineyo ya kimataifa yanayohusu Tanzania na wangechukua nafasi hiyo kuelezea msimamo wao juua ya mambo mengineyo

Lakini sitoshangaa kama wamelala leo moaka saa 7 mchana na baada ya kuamka wako humu JF wanasoma tuuu misimamo toka kwa wana JF

Sasa hawa watu kweli tunaweza kuwaamini kwa kuwapa nchi kweli?
 
msimamo wa cdm ni mmoja tu : ikiingia madarakani no muungano.
 
Watu makini, chama makini na kwa jambo nyeti kama hili hawapaswi kukurupuka

1. Msimamo wa chama unahitajika sio wa mtu. (Vikao na mawasiliano ni kitu muhim)

2. Kujiridhisha ni muhim

3. Vema kutambua hisia za watanzania wanataka nin na kwa nin.

Kukurupuka ndio chanzo cha mifarakano na utata katika vyama.

Ona ccm na serikali yake kitu kimoja matamko mengi, speaker, w/mkuu, katibu mkuu wa bunge kila mmoja anasema lake huo ni udhaifu mkubwa.
 
Watu makini, chama makini na kwa jambo nyeti kama hili hawapaswi kukurupuka

1. Msimamo wa chama unahitajika sio wa mtu. (Vikao na mawasiliano ni kitu muhim)

2. Kujiridhisha ni muhim

3. Vema kutambua hisia za watanzania wanataka nin na kwa nin.

Kukurupuka ndio chanzo cha mifarakano na utata katika vyama.

Ona ccm na serikali yake kitu kimoja matamko mengi, speaker, w/mkuu, katibu mkuu wa bunge kila mmoja anasema lake huo ni udhaifu mkubwa.

Maneno mazito lakini kupata facts toka serikalini ni dakika ngapi?

usiwatete hawa jamaa sio madhubuti kama tunavyofikirishwa
 
Maneno mazito lakini kupata facts toka serikalini ni dakika ngapi?

usiwatete hawa jamaa sio madhubuti kama tunavyofikirishwa

Mkuu wangu sifanyi utetezi

Chama chochote chenye vichwa makin hakikurupuki wala kushabikia, bali hutafiti na kujipanga kwa tamko bora na si bora tamko.

Ukikurupuka unaweza kugawa chama na kukimbiwa na wanachama
 
Nilitegemea leo asubuhi baada ya kupata taarifa kamili toka foreign,SMZ, Ubalozi wa USA, State department na Ubalozi wa Iran, Chama kikuu cha upinzani Tanzania wangekuwa wanazunguka kwenye vyombo vya habari kutoa msimamo wao au kama vipi wangeita press conference kuzungumzia msimamo wao juu ya suala hili na mambo mengineyo ya kimataifa yanayohusu Tanzania na wangechukua nafasi hiyo kuelezea msimamo wao juua ya mambo mengineyo

Lakini sitoshangaa kama wamelala leo moaka saa 7 mchana na baada ya kuamka wako humu JF wanasoma tuuu misimamo toka kwa wana JF

Sasa hawa watu kweli tunaweza kuwaamini kwa kuwapa nchi kweli?

Hii imekuwa balaa. Kila kitu kikitokea humu nchini lazima uwepo pia msimamo wa Chadema! Mwisho Chadema itaombwa kutoa msimamo kwa nini Jk hupendelea kwenda Bagamoyo kila jumamosi ya mwisho wa mwezi, na si siku nyingine!!!!!!!!
 
We na rafiki yako roger, mmetumwa kuichafua chadema!

Maana mmekuja na chorus moja tofauti yake ni verse tu.

Nafikiri mmgejipanga vizuri zaidi ikiwezekana mwende kwenye studio nyingine mkajaribu kubadili beats maana nyimbo zenu hazina jipya zime zoeleka sana.

NB:Ujinga ni zaidi ya ukimwi
 
Nilitegemea leo asubuhi baada ya kupata taarifa kamili toka foreign,SMZ, Ubalozi wa USA, State department na Ubalozi wa Iran, Chama kikuu cha upinzani Tanzania wangekuwa wanazunguka kwenye vyombo vya habari kutoa msimamo wao au kama vipi wangeita press conference kuzungumzia msimamo wao juu ya suala hili na mambo mengineyo ya kimataifa yanayohusu Tanzania na wangechukua nafasi hiyo kuelezea msimamo wao juua ya mambo mengineyo

Lakini sitoshangaa kama wamelala leo moaka saa 7 mchana na baada ya kuamka wako humu JF wanasoma tuuu misimamo toka kwa wana JF

Sasa hawa watu kweli tunaweza kuwaamini kwa kuwapa nchi kweli?

mmh! Sijui kama ulifikilia..
 
Nilitegemea leo asubuhi baada ya kupata taarifa kamili toka foreign,SMZ, Ubalozi wa USA, State department na Ubalozi wa Iran, Chama kikuu cha upinzani Tanzania wangekuwa wanazunguka kwenye vyombo vya habari kutoa msimamo wao au kama vipi wangeita press conference kuzungumzia msimamo wao juu ya suala hili na mambo mengineyo ya kimataifa yanayohusu Tanzania na wangechukua nafasi hiyo kuelezea msimamo wao juua ya mambo mengineyo

Lakini sitoshangaa kama wamelala leo moaka saa 7 mchana na baada ya kuamka wako humu JF wanasoma tuuu misimamo toka kwa wana JF

Sasa hawa watu kweli tunaweza kuwaamini kwa kuwapa nchi kweli?

Undumila kuwili wa serikali ya ccm utaiponza nchi yetu, inataka kuwa rafiki wa marekani na huku inataka kuwa rafiki wa adui mkubwa wa marekani! Msimamo wa chadema unaeleweka zanzibar ni huru!
 
Nilitegemea leo asubuhi baada ya kupata taarifa kamili toka foreign,SMZ, Ubalozi wa USA, State department na Ubalozi wa Iran, Chama kikuu cha upinzani Tanzania wangekuwa wanazunguka kwenye vyombo vya habari kutoa msimamo wao au kama vipi wangeita press conference kuzungumzia msimamo wao juu ya suala hili na mambo mengineyo ya kimataifa yanayohusu Tanzania na wangechukua nafasi hiyo kuelezea msimamo wao juua ya mambo mengineyo

Lakini sitoshangaa kama wamelala leo moaka saa 7 mchana na baada ya kuamka wako humu JF wanasoma tuuu misimamo toka kwa wana JF

Sasa hawa watu kweli tunaweza kuwaamini kwa kuwapa nchi kweli?

Mkuu, mambo ya kidiplomasia hayaendi kama unavyotaka wewe.
Hata hao Waamerika hawakukurupuka tu na kutoa tamko mara tu baada ya kuiona bendera ya Tz katika meli za Iran hapana. Kuna hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kuangalia sheria za kimataifa zinavyotaka.

Ndiyo maana wa kale walisema 'Tafakari kabla ya kusema au kutenda'.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom