Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Aaamen! Watesi wake wote wameangukia pua bado yule mshika kibubu tuuMungu aibariki na kuilinda. Na Hakika tumeshuhudia Matendo makuu ya Mungu wetu.
Aaamen! Watesi wake wote wameangukia pua bado yule mshika kibubu tuuMungu aibariki na kuilinda. Na Hakika tumeshuhudia Matendo makuu ya Mungu wetu.
HureeeeeeIkumbukwe kwamba wakati mfumo wa vyama vingi unaingia nchini Tanzania , kutokana na shinikizo la Kimataifa mwaka 1992 , kulikuwa na matakwa ya kisheria yaliyowekwa na Serikali ya Tanzania ili kufuatwa na vyama vya siasa vilivyojitokeza kuomba usajili huo .
Pamoja na masharti Lukuki , yaliyowekwa ikiwemo chama kinachotaka kusajiliwa kuwa na angalau wanachama 200 katika angalau kila mkoa katika mikoa 10 ya Tanganyika , na mikoa miwili ya Zanzibar , Masharti mengine ni chama kuwa na Katiba yake na bendera yenye nembo itakayotumiwa na chama husika .
Sasa leo naileta kwenu vijana na wazee ambao labda kwa sababu mbalimbali hamkuifahamu BENDERA YA KWANZA KABISA ILIYOTUMIWA NA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUSAJILIWA , bendera hii amekutwa nayo mwanachama wa Chadema huko Kigoma ambaye alihudhuria Mkutano wa Kanda ya Magharibi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kanisa la Anglican Kigoma Mjini , mwanachama huyo amedai kuitunza bendera hiyo kwa kipindi cha miaka 29 .
View attachment 2181011
Aaamen! Watesi wake wote wameangukia pua bado yule mshika kibubu tuu
AaaaameeenChadema chadema.
Mungu awabariki na kuwalinda viongozi na wanachama wote.
Hawawezi kuifahamu.Niwavivu wa kusoma na kutunza kumbukumbu😂😂😂😂😂sasa hebu waulize wale wachumia tumbo wa upande wa pili kama hata wanaifahamu bendera ya TANU.
Pawa tila labdaPawaaaaaa.....!!!
Hakika !Polisiii Msitupige mabomu chadema ni serikali ijayooooo!!!!!x4
sasa hebu waulize wale wachumia tumbo wa upande wa pili kama hata wanaifahamu bendera ya TANU.