M Mkwe21 JF-Expert Member Apr 11, 2011 3,250 2,730 Dec 2, 2012 #21 Ukiona mtu wa magamba anafanya huo udhalimu lazima ujue kuwa hapo kuna tatizo la yeye mwenyewe kuhusu usafi wake!! Atakuwa anaogopa kivuli Chake!!
Ukiona mtu wa magamba anafanya huo udhalimu lazima ujue kuwa hapo kuna tatizo la yeye mwenyewe kuhusu usafi wake!! Atakuwa anaogopa kivuli Chake!!
M Mthuya JF-Expert Member Jun 9, 2011 1,415 229 Dec 2, 2012 #22 Magamba wanajisumbua tu Chadema ni zaidi ya chama