figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
....poleni watu wa Arusha na Watanzania kwa ujumla...ninachoshangaa mbona hawa police mateso yetu ndo yao?inakuaje tunaanza kuuana ndugu kwa tofauti ya mavazi tu?...sijui kwenye mazishi kama hawa police wetu watakuja.
Elimu inahitajika kwa hawa police.police na police jamii kwenye maswala ya ulinzi shirikishi sijui ka watakaa pamoja usiku kwenye lindo huko Arusha...
Elimu inahitajika kwa hawa police.police na police jamii kwenye maswala ya ulinzi shirikishi sijui ka watakaa pamoja usiku kwenye lindo huko Arusha...