onkoko
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 514
- 478
Inaweza kuwa katoweka ama katwaliwa ila yote heri ni nani anawajibu wa kulinda raia na Mali zao, bagamoyo Ile miili Saba ilijibiwa kuwa walikuwa wahamiaji haramu- kesho agizo linatolewa miili ichunguzwe- jiongeze ulink hizo squence of events the take your own mind make personal argument then make conclusion.Serikali inaingiaje hapo wakati huyo Ben katoweka mwenyewe.