Habari wadau?
Bila kupoteza mda nijielekeze kwenye mada.
Leo nimeona nimuulize swali Ndugu yangu Ben saanane ambaye kiasili ni mkazi wa Rombo.
Wakazi wa wilaya ya Rombo pamoja na changamoto na matizo mtambuka yanayowakabili yaani kama vile umasikini wa kipato,Afya Elimu na mengineyo, ambayo yamezoeleka kwani matatizo hayo unaweza kuyakuta sehemu nyingine yoyote hapa Tanzania.
Lakini kwa wakazi wa Rombo kwa sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kimaadili yanayotokana na Unywaji wa pombe Uliopindukia kwa wakazi wake wakiongozwa na akina baba.
Kutokana na unywaji wa pombe uliokithiri tayari kuna visa kadhaa vya kusikitisha vimeripotiwa kwenye vyombo vya habari.
Mathalani kumewahi kuripotiwa tukio la kinamama wa Rombo "kuwavusha" wanaume kutoka nchi jirani ya Kenya kwa lengo tu la kufanya nao Mapenzi chanzo kikidaiwa kushindwa kwa wanaume wa Rombo kuwatimizia haja za kimapenzi kwa wanawake hao kwa sababu ya ulevi wa kupindukia.
Athari za ulevi wilayani Rombo aziishii hapo tu, tayari Familia nyingi zimeshasambaratika na kuacha watoto wakikua bila malezi na maadili ya kutosha kuishi vizuri katika Jamii.
Sambamba na hilo
tayari wilayani Rombo kumeripotiwa idadi kubwa ya watoto walio chini miaka kumi na tatu wakilawitiana.
kabla hilo halijasahaulika vichwani mwa watu,
Magazeti ya wiki hii yameripoti kundi kubwa la watoto wa shule wakinajisi (kufanya ngono) na mifugo.
Kwa kifupi Wilayani Rombo hali ni mbaya na inasikitisha sana na sababu kubwa ikiwa ni Pombe.
Sasa swali langu nalielekeza kwa kijana mwenzangu Ben saanane.
Ben una elimu nzuri, uzoefu na exposure ya kutosha kweli unashindwa hata kufanya kitu ukalipunguza kama sio kulimaliza kabisa tatizo hili la Ulevi Rombo?
Bila kupoteza mda nijielekeze kwenye mada.
Leo nimeona nimuulize swali Ndugu yangu Ben saanane ambaye kiasili ni mkazi wa Rombo.
Wakazi wa wilaya ya Rombo pamoja na changamoto na matizo mtambuka yanayowakabili yaani kama vile umasikini wa kipato,Afya Elimu na mengineyo, ambayo yamezoeleka kwani matatizo hayo unaweza kuyakuta sehemu nyingine yoyote hapa Tanzania.
Lakini kwa wakazi wa Rombo kwa sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kimaadili yanayotokana na Unywaji wa pombe Uliopindukia kwa wakazi wake wakiongozwa na akina baba.
Kutokana na unywaji wa pombe uliokithiri tayari kuna visa kadhaa vya kusikitisha vimeripotiwa kwenye vyombo vya habari.
Mathalani kumewahi kuripotiwa tukio la kinamama wa Rombo "kuwavusha" wanaume kutoka nchi jirani ya Kenya kwa lengo tu la kufanya nao Mapenzi chanzo kikidaiwa kushindwa kwa wanaume wa Rombo kuwatimizia haja za kimapenzi kwa wanawake hao kwa sababu ya ulevi wa kupindukia.
Athari za ulevi wilayani Rombo aziishii hapo tu, tayari Familia nyingi zimeshasambaratika na kuacha watoto wakikua bila malezi na maadili ya kutosha kuishi vizuri katika Jamii.
Sambamba na hilo
tayari wilayani Rombo kumeripotiwa idadi kubwa ya watoto walio chini miaka kumi na tatu wakilawitiana.
kabla hilo halijasahaulika vichwani mwa watu,
Magazeti ya wiki hii yameripoti kundi kubwa la watoto wa shule wakinajisi (kufanya ngono) na mifugo.
Kwa kifupi Wilayani Rombo hali ni mbaya na inasikitisha sana na sababu kubwa ikiwa ni Pombe.
Sasa swali langu nalielekeza kwa kijana mwenzangu Ben saanane.
Ben una elimu nzuri, uzoefu na exposure ya kutosha kweli unashindwa hata kufanya kitu ukalipunguza kama sio kulimaliza kabisa tatizo hili la Ulevi Rombo?