lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Hivi mlishakula hitima ya ben saa nane?Ben makonda siku hizi anazurura kwenye makanisa kulia Lia tu kaza uzi ukimlilia Mungu mkuu amlipie kisasi hata huyo mtoto wake wakichana apate laana yake hadi kizazi cha nne
Hitma ni nini?
Mkuu, Wapuuzi kama hawa haina haya ya Kuomba mitazamo yao; Maana watakupa upuuzi tu;Nipe mtazamo wako tena kuhusu hii comment yako ya 2016
Dola sio ya kushindana nayoInauma sana huyu kijana kuuliwa kwa sababu tu ya kuhoji PhD jamani Magufuli era ni bloodshed tu
Kwani imethibitika amekufa?Lala mahali salama Ben Rabiu Saanane
Binadamu aliye zaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni CHACHE sana
Watesi wako hakika nao watakufa tu
Ben we will meet you there!!
Amen.