Time will tell bro, nothing else, only time and perseverance.Hivi Ben hatarudi tena?? Kijana mwenye miaka hiyo unaweza kumpatia adhabu kubwa namna hiyo? I dont want to imagine tha Ben won't be arround again...as he is no more? !!! .....nooooo!!!!!
moyo wangu umejaa maumivuTime will tell bro, nothing else, only time and perseverance.
Hivi hata ndugu wa Ben walishawauliza polisi kama walifuatilia hii namba na matokeo yake ni nini? Yani vitisho vyenyewe kama hivi tayari si makosa ya jinai?
Tumesherehekea miaka 50 ya uhuru juzi juzi tu haya mambo hayajawahi kuwapo!! Ila kwa sasa weka mdomo mbele upambana na chatu - laahIna maana serikali hii ya JPM imemuua Ben saanane?
Mkuu akili yako umejikita Zaidi kwenye ushabiki. I prefer to stay above the fray. Above partisan politics.umerudi kwenye story
Ben saa nane, msaidizi wa Mbowe yuko wapi?
unaanza kuikana chadema mkuu, sio vizuri
kwa Mo, polisi wako kila mahali wakijishghulisha na kujituma. Lakini kwa issue ya Ben Saanane walipotezea. Hilo lilinifanya niamini kuwa, hata kama
Wtf unamuandikia nani waraka? No time I swear. Sisomi ujinga mrefu. Kwanini unakuwa kama malaya mbovu? Wtf is this rambling for?you dumbfuck
Naunga mkono hoja, chadema must do something about it.CHADEMA wangeweza kumpa ushirikiano zaidi ili aweze kutimiza hili; la kujua polisi wamefikia wapi na uchunguzi wao, na hata kumwongoza jinsi ya kueneza taarifa kuhusu kupotea kwa mwanae na juhudi zinazofanyika.
Natamani kuona Ben akiachiwa huru kama alivyoachiwa 'Mo' na wale watekaji wa kizungu. Au Chadema ingetangaza dau la Fedha kwa atakaesaidia kupatikana kwa Ben Saanane. Inasikitisha kwa kweli.Hivi Ben hatarudi tena?? Kijana mwenye miaka hiyo unaweza kumpatia adhabu kubwa namna hiyo? I dont want to imagine that Ben won't be arround again...kwamba he is no more? !!! .....nooooo!!!!!
chadema wangeanza atleast na dau. Ama kama kuna wadau wa chama au wasio na chama lakini wameguswa, wanaweza kufanya hivyo. Kuna kitu kinaitwa "go fund me page" kama sikosei, ambapo mchango unaweza kupitishwa. Lakini ukimya wa chadema pia sijafurahishwa nao.Natamani kuona Ben akiachiwa huru kama alivyoachiwa 'Mo' na wale watekaji wa kizungu. Au Chadema ingetangaza dau la Fedha kwa atakaesaidia kupatikana kwa Ben Saanane. Inasikitisha kwa kweli.