I hope gazeti hili lina detailed information !! Maana MTU kapotea more than six months then unakuja na blabla ??? Inafaa mwandishi huyo akamatwe au afungiwe milele kuandika habari asizokuw na uhakika!!
Chademaaaa!hiyo ndiyo chadema, huku Mbowe na Wema kwenye mahaba kule Ben S8 kaibuka Tanzania daima gazeti la chadema..
Asante sana kwa kunifumbua machoNafikiri Mhariri wa hilo gazeti hakupaswa kuipa hiyo habari kichwa cha namna hiyo na upendeleo wa kukaa mbele ya Gazeti.
Kawaida mtandao wa WhatsApp namba isipotumika kwa zaidi ya miezi sita,basi "automatic" namba husika "hujileftisha".Na mkikaa mnakuta tu "Saanane has left the group"
Iliwahi zua taharuki kwenye "group" la Familia,ndani ya hilo group kulikuwa na ndugu wa pande zote za mke wangu na ndugu zangu,sasa kuna shemeji yangu alifariki na alikuwa ndio admin wa kundi.
Siku hiyo tumeamka,tunakuta "Zephania has left the group"....halafu kuangalia kipengele cha uadminister kinonyesha mdogo wake ndio amekuwa Admn.Tatizo Admin aliyerithi alikuwa chapombe sana,kila siku anaibiwa simu,kwa hiyo update za kifamilia anakuwa hajui na hawezi ku-manage...Nikapoga kura ya "Veto" kumpoka cheo
Ilizuka taharuki kweli baada ya kuona marehemu kajileftisha,watu wakaanza kuhoji inakuwaje?lakini kufuatilia ikaonekana WhatsApp inajiondoa baada ya miezi kadhaa bila kutumika,na kama muhusika alikuwa Admin,basi yule aliyekuwa wa pili kusajiliwa kwenye kundi baada ya Admn ndio anakuwa Admn wa kundi "automatic".
Hili la [HASHTAG]#BenSaanane[/HASHTAG] litakuwa hivyohivyo
hivi unaweza ku-substantiate kauli yako?Tanzania hii kila mtu mjuaji ndio maana pombe anaamua chchte popote bila kufuata sheria na watu kimya
Sasa umeleta ili iweje?Mimi mwenyewe sijapata copy ya hilo gazeti.
Kukariri kubaya. Tanzania Daima wana husianeje na Kubenea?Kubenea huwa simuamini
Jinsi ninavyomdharau kwa undimilakuwili wake hata akisema ukweli nitadharau tu.
Hakuna mnafiki kama huyo jamaa
Habari njema.
Wengi tulishaanza kuwaza vibaya.
Nasubiri habari zaidi na mawili matatu kutoka kwa Ben .
lusinde upoGazeti la Mbowe hili, nazani Mbowe alitaka azime ishu yake na Wema
Hii ndio habari kuu katika Gazeti la TanzaniaDaima la siku ya leo ambapo simu yake yadaiwa kuzua mijadala mitandaoni huku familia yake nayo ikitoa neno.
Sina details bali hizi ndio dondoo za magazeti ya leo kwenye vyombo mbalimbali vya habari.
Chanzo:TanzaniaDaima
Hii ndio Tanzania yetu!!!
Tanzania Daima gazeti la Mbowe,sio KubeneaKubenea huwa simuamini
Jinsi ninavyomdharau kwa undimilakuwili wake hata akisema ukweli nitadharau tu.
Hakuna mnafiki kama huyo jamaa
Cdm hapo inahusikajeUsanii kama huu unawashushia hadhi CDM ingawa wenyewe mnajiona mko sahihi.
Sijashabikia ujinga. Nilitaka niweke question mark, niulize Ben Saanane? Sijajua ni kwanini kiulizo kilipotea kininjaBujibuji na wewe unashngilia ujinga huu? Ukiwa group member whatsup, ukikaa muda mrefu bila kuwa hewani, namba yako ina left automatically.
Sasa chadema kuona namba ya ben inaleft, wakaona waitumie kuuzia gazeti, maana ukipiga haipo hewani, muda wa kukaa bila kutumia whatsup umefika kikomo.
Hivi kwa nn chadema(Tanzania Daima) wanamtumia Ben kujinufaisha?
Wajinga sana
Wanahatarisha credibility yao! CDM should not allow that! Huyu mhariri takataka, rubbish! Ni nani, rubbish! Watu wanalia unaleta upuuzi kwenye majonzi!No news that are bogus information for selling their magazine