Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
- #81
Kwani ana makosa gani?
Naona tangu asubuhi uko busy na huu uzi wa Ben
Kwani ana makosa gani?
Kwa maelezo yako, aliyekuwa anaongelewa ni mtu siyo chama kwayo kilichofanyika ni kumuanika huyo mtu pabaya.
in an ideal world, CHADEMA kana effective opposition kilitakiwa ku-set a motion and not to be cornered by CCM na kuanza kucheza mchezo ambao CCM ni magwiji. It'll never work.
Kaka funguka kwanza naona unaongea ukiwa usingizini amka.Listen Nape na wahuni wenzake walienda Goba .Wakaacha kuongelea maswala ya Nchi ikawa ni Mnyika nk .Chadema wame enda wameongelea mikakati yao na nini wamefanya na pia wakajibu hoja iliyo tolewa na Nape ni kawaida ndiyo politics uliyaka Mnyika aende pale aondoke bila kugusia ujinga ule halafu wasema si mmeona kaja hata hakujibu nilichosema ? Is this politics to you ?
Kamanda wa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Ben Saanane amemshangaa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye kwa kupita huku na huko akihoji elimu za viongozi wa CHADEMA.
Akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara huko GOBA jana Saanane alisema anamfahamu vema Nape kwani walisoma pamoja huko nchini India.Saanane alieleza kwa kirefu jinsi Nape alivyotumia njia zisizo halali kupata elimu yake.Saanane alimtaka Nape afunge mdomo kwani kamwe hawezi kujilinganisha na John Mnyika kwa sababu ni sawa na kulinganisha na mbingu na ardhi.
Akishangiliwa na umati mkubwa wa watu Saanane pia aliwatahadharisha wananchi kuhusu Juliana Shonza na Mtela Mwampamba ambao walifukuzwa na Chadema na sasa wanatembezwa majukwaa mbalimbali na CCM kwa lengo la kuwatukana matusi viongozi wa Chadema.
Ben Saanane kwa siku za karibuni amejipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya Chadema tangu pale alipofichua njama za usaliti ndani ya Baraza la vijana la Chadema-BAVICHA na hatimaye wasaliti hao walioongozwa na Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wakafukuzwa uanachama.
Hebu mtaje huyo Professor
mtoto kwa muonekano wa fasta fasta yupo safi huyu?
hivi Dr. fastjet naye ana wangapi wa nje ya ndoa?
Kaka funguka kwanza naona unaongea ukiwa usingizini amka.Listen Nape na wahuni wenzake walienda Goba .Wakaacha kuongelea maswala ya Nchi ikawa ni Mnyika nk .Chadema wame enda wameongelea mikakati yao na nini wamefanya na pia wakajibu hoja iliyo tolewa na Nape ni kawaida ndiyo politics uliyaka Mnyika aende pale aondoke bila kugusia ujinga ule halafu wasema si mmeona kaja hata hakujibu nilichosema ? Is this politics to you ?
Hata mimi nilisoma moja ya comments Facebook nikaona jinsi Eddah Kishimba alivyotukanwa.Ila kuna tuhuma nyingine ambazo eddah alitoa baada ya kuona ametukanwa kwenye suala la mimba nakumbuka post yake kuwajibu waliomshambulia pia
'Sina haja ya Mimba kama ni Mimba ninaweza kupata kutoka kwa mwanaume yeyote.Mimi ni msomi na nina kazi.Ben alishirikiana na maofisa ubalozi wahuni kama yeye wa Nigeria pamoja na vijana wa Nigeria kutengeneza paspoti fake na kumtorosha Joan baada ya kuona moto umewaka.Walitengeneza paspoti mbili za Uganda na Congo-DRC.Ben Njoo useme hapa kama hujashirikiana na Doreen(Mke wa mbunge wa Mbale kule Uganda) aliyekua anafanya PHD Chuo kikuu cha Jawahlal Nehru kumtorosha Joan.Njoo ukatae umafia wenu pale Delh na wahuni wa Sudan,Nigeria,Congo na wayahudi waliokua wakitengeneza Dola fake,paund na EURO.Wakati huyu anataka kuwa Mwenyekiti wa vijana ndiye anayeongoza kwa uhuni na aliyekubuhu kwa umalaya na kubadili wasichana kama babu yao Slaa na akina john Mnyika.Kuanzia leo nitakua namwaga picha mfululizo na huu ni mwanzo tu akifuta huku namwaga tanuru,blogs na vyombo vya habari.Shetani mkubwa wewe!'
Juliana Shonza,
Haka kabinti ndiyo kiboko ya Chadema.
Kakitokeza tu Pro-Chadema JF karibia wote mapovu yanawatoka.
Watu ni kulipuana tu siku hizi. Kuja jamaa alipost hapa thread ya kumlipua Ben Saanane lakii naona bahati mbaya mods wameilipua! Kumbe Ben alisoma India? Nilikuwa sijui na huyo jamaa aliyemlipua alisema kwamba kuna kitu kilifanyika wakati Ben akiwa India (Sisemi kwa kuwa naona mods hawakuitaka).
Acha kupindisha historia.
Wasaliti waliongozwa na Ben Saanane (COBRA) kwa kushirikiana na Habibu Mchange (MDUDE). Ila baada ya Ben Saanane kuona anakosa fursa ya kukutana na Zitto (PREZZO) akaamua kubadilisha plan.
Hivi mdude kafia wapi?!
Juliana Shonza,
Haka kabinti ndiyo kiboko ya Chadema.
Kakitokeza tu Pro-Chadema JF karibia wote mapovu yanawatoka.
Huyu demu ni kiboko sana.Hata mie mate yamenitoka .Hongera sana kijana Ben umechukua taste zangu kabisa .Mengine ni upuuzi wewe piha siasa kaka .
Kaka, mimi nimeandika kulingana na kile nilichokisoma kwenye hii Thread. Tafuta katika hiyo Thread kama utaona chochote zaidi ya mipasho kuwekwa kama ndiyo ilikuwa theme ya mkutano. Samahani, labda macho yangu yamenidanganya.
Mnyika is better than this trash talk.Mimi ninafikiri kuwa watu wanatafuta promotion kwa mgongo wa Mnyika kiasi kwamba hata hawakuyagusia yale ya maana aliyoyasema.
Ni mawazo yangu tu.