NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,442
- 11,504
Hahahaha, kwahiyo wanyarwanda, waganda na wakenya ambao wote wanaolewa na watanzania, nchi zote hizo zinahadhi kuliko Tanzania?, kule Mombasa wanaume wanakubali kuwaruhusu wake zao waolewe na wazungu japo kwa mkataba ili wakatengeneze maisha, je wale pia wanahadhi ya juu?
Acha kukimbia ukweli, hapa EA kila mtu angependa siku moja apate kufika Tanzania na kuja kuishi, njia rahisi na pekee kwa Dada zenu ni kuchukuliwa na watanzania, bahati mbaya haturuhusu ushoga, vinginevyo hata ninyi wanaume mngeolewa na watanzania kama mbavyoolewa Europe na USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi kujibizana na kilaza.
Ndio - kama mastaa wenu watakimbilia hizo nchi wakishapanda hadhi kwenye jamii basi hizo nchi zina hadhi kuwashinda.
Kuhusu watu kutaka kuja Tanzania hayo ni mambo ya upuzi. Mtu huenda pale amepata fursa - saa hii hii nikipata fursa bora kuliko niliyonayo Sudan Kusini nitaenda. Inamaanisha Sudan Kusini iko juu ya Kenya? Shida yako ukishashindwa na mjadala unaanza kuropoka vijimambo ambavyo hata haviko kwenye mjadala. Sasa mambo ya ushoga yanaingilia wapi? Ama wewe ni shoga maanake unapenda huo mjadala sana.
Nishaakwambia na kukutolea mifano kua wanaume wanaotoka kwenye jamii za hadhi ya chini hutamani kupata demu kutoka jamii zenye hadhi ya juu na kila mara wakipanda hadhi wao hukimbilia huko - kama vile ni nadra kupata mzungu mwenye hadhi ya juu akimuoa msichana wa kawaida muafrika lakini kila mara wafrika wakipata pesa wanakimbilia Wazungu - kama harmonize vile.