Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Tuko pamoja veni
Kwanza hata ukitokewa na Domo utahisi kudhalilishwa. Utajiuliza hivi huyu ananichukuliaje mimi. Kuna wanaume wana pesa na maarufu lakini mwanamke unajua kabisa hii takataka stahiki yake ni wanawake wasiojielewa kama kina Mobeito, Sepetunga
 
Rooney, unaweza kudhani kama utani diamond kukaza wanawake wote pasi na shida yoyote ila ndio uhalisia.

Makapuku hawa wote anamega pruuu wote kama huyu warumi anakaza mpaka jicho, wale angalau wenye pesa nao anakaza wanataka umaarufu fulani kujulikana, kuzungumziwa n.k

Narudia tena hakuna wakumkataa si kwa sababu ana sura nzuri au mbaya bali umaarufu wake na pesa zake
Ah ah ah poa mkuu..
Msamehe warumi hhh.
 
Harmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.

Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.


Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli

BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI
Wewe jamaa story zako za kutunga tunga uongo uongo kuanzia kwenye soccer mpaka kwa wasanii
 
Wewe jamaa story zako za kutunga tunga uongo uongo kuanzia kwenye soccer mpaka kwa wasanii
Kosoa kwa hoja sio unaniambia natunga wakati nikikwambia lete ambazo si za kutunga huna.

Muziki, Soka, na dini hapa utachemka navijua kuliko unavyozani
 
Unachekesha kumiliki kiwanda cha kutengeneza maji hata si gharama ndugu mtanzagiza.

shinyanga kuna viwanda vya kutengeneza maji vingi mno ukiachilia mbali sayona, Mwanza ndio hadi kero je hao nao ni matajiri kumbuka wanauza TZ nzima acha masikhara acha utoto kwenyd majambo kama haya.


Harmonize haishi kwa sara, Sara anaishi kwa harmonize, Sara ana apartment Zanzibar ya kukodi na si Dar
Halafu kaka punguza kutudanganya.
We huyu Anerlisa ana net worth inayokaribia $ 1 billion.
Na ana viwanda vyake vya vinywaji tofaut na nguv za wazaz wake.
Umfananishe na Harmonize mwenye net worth ya $ 1 million.
Acha kuzingua wewee.
Harmonize ni umaarufu tu na labda richest kid kwa wasaniii wenzake sio kwa watu wote EA Harmonize hawez mfikia Anerlisa kwa fact zifuatazo.
Anerlisa akifanya mauzo anafanya kwa kenyan shilling ambayo ina thaman kuliko tz shillings.
Anerlisa anafanya biashara ambayo daily watu wana consume sio km Harmonize mpka akafanye show.
Na hao kina sayona unaowataja kimazabe wanamiliki mpunga harmonize haugusi.
Umesoma engineering kaka pengine hujui mzunguko wa biashara ukoje.
Usimfananishe Anerlisa aliyetajwa kuwa miongoni mwa richest young ladies Africa kiujumla na huyo harmonize anayeongoza kwa wanamuziki tuu utaumia kaka.
Asa dola billion moja na dola million moja ya harmonize ipi kubwa
 
Mkuu umewapangua kisawa sawa, wabongo huwa tunapenda kushushana tuu, harmonize ana mpunga mrefu sana kwa sasa aisee, siwezi jua networth ya Huyo anelisa na huenda ana networth kubwa, issue inakuja amezipataje, mbali na miradi aliyo nayo huyo manzi ila kwa sasa konde boy anaingiza pesa ndefu kumzidi Huyo mrembo......Mtu analipwa karbia one billion for a single hit song na youtube, out of show, advertisement n.k....
Yani hyo one billion unayoitaja ya kitanzania mwenzio anaipokea ya kikenya asa sijui ipi kubwa
 
Kosoa kwa hoja sio unaniambia natunga wakati nikikwambia lete ambazo si za kutunga huna.

Muziki, Soka, na dini hapa utachemka navijua kuliko unavyozani
Hao ni umaarufu sanasana kuna watu wametulia hawana umaarufu lakini hugusi pesa zao.
Asa huyu Harmonize ana net worth ya $ 1 million umfananishe na Anerlisa mwenye net worth ya $1 billion.?
Harmonize si kapitwa ht na dem wangu wa kimahara nilietemana nae aliyeachiwa net worth ya $ 5 million na wazazi wake?!
Asee kaka punguza chai za kihindi kidogo
 
Hao ni umaarufu sanasana kuna watu wametulia hawana umaarufu lakini hugusi pesa zao.
Asa huyu Harmonize ana net worth ya $ 1 million umfananishe na Anerlisa mwenye net worth ya $1 billion.?
Harmonize si kapitwa ht na dem wangu wa kimahara nilietemana nae aliyeachiwa net worth ya $ 5 million na wazazi wake?!
Asee kaka punguza chai za kihindi kidogo
Yesu wangu dogo rudi shule ukasome, achana na hizi mbanga huzijui bado mdogo sana wewe.

Mo dewji ana utajili wa dola 1.2 billion dollars na ni miongoni mwa matajiri kumi wa Africa acha kabisa utoto narudia ACHA
 
Halafu kaka punguza kutudanganya.
We huyu Anerlisa ana net worth inayokaribia $ 1 billion.
Na ana viwanda vyake vya vinywaji tofaut na nguv za wazaz wake.
Umfananishe na Harmonize mwenye net worth ya $ 1 million.
Acha kuzingua wewee.
Harmonize ni umaarufu tu na labda richest kid kwa wasaniii wenzake sio kwa watu wote EA Harmonize hawez mfikia Anerlisa kwa fact zifuatazo.
Anerlisa akifanya mauzo anafanya kwa kenyan shilling ambayo ina thaman kuliko tz shillings.
Anerlisa anafanya biashara ambayo daily watu wana consume sio km Harmonize mpka akafanye show.
Na hao kina sayona unaowataja kimazabe wanamiliki mpunga harmonize haugusi.
Umesoma engineering kaka pengine hujui mzunguko wa biashara ukoje.
Usimfananishe Anerlisa aliyetajwa kuwa miongoni mwa richest young ladies Africa kiujumla na huyo harmonize anayeongoza kwa wanamuziki tuu utaumia kaka.
Asa dola billion moja na dola million moja ya harmonize ipi kubwa
Pumbavu!
 
We jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....

Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...

Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
Wewe jamaa mshamba sana..!
Mwanaume hapimwi kwa uzuri wa sura..!
 
Halafu kaka punguza kutudanganya.
We huyu Anerlisa ana net worth inayokaribia $ 1 billion.
Na ana viwanda vyake vya vinywaji tofaut na nguv za wazaz wake.
Umfananishe na Harmonize mwenye net worth ya $ 1 million.
Acha kuzingua wewee.
Harmonize ni umaarufu tu na labda richest kid kwa wasaniii wenzake sio kwa watu wote EA Harmonize hawez mfikia Anerlisa kwa fact zifuatazo.
Anerlisa akifanya mauzo anafanya kwa kenyan shilling ambayo ina thaman kuliko tz shillings.
Anerlisa anafanya biashara ambayo daily watu wana consume sio km Harmonize mpka akafanye show.
Na hao kina sayona unaowataja kimazabe wanamiliki mpunga harmonize haugusi.
Umesoma engineering kaka pengine hujui mzunguko wa biashara ukoje.
Usimfananishe Anerlisa aliyetajwa kuwa miongoni mwa richest young ladies Africa kiujumla na huyo harmonize anayeongoza kwa wanamuziki tuu utaumia kaka.
Asa dola billion moja na dola million moja ya harmonize ipi kubwa
Chief,mbona hii chai kama ya moto sana..!
Inamaana huyo manzi anakula sahani moja na Mo Dewji..!?
Utajiri wa Bakhresa ni chamtoto tu kwa huyo manzi..!?
 
Halafu kaka punguza kutudanganya.
We huyu Anerlisa ana net worth inayokaribia $ 1 billion.
Na ana viwanda vyake vya vinywaji tofaut na nguv za wazaz wake.
Umfananishe na Harmonize mwenye net worth ya $ 1 million.
Acha kuzingua wewee.
Harmonize ni umaarufu tu na labda richest kid kwa wasaniii wenzake sio kwa watu wote EA Harmonize hawez mfikia Anerlisa kwa fact zifuatazo.
Anerlisa akifanya mauzo anafanya kwa kenyan shilling ambayo ina thaman kuliko tz shillings.
Anerlisa anafanya biashara ambayo daily watu wana consume sio km Harmonize mpka akafanye show.
Na hao kina sayona unaowataja kimazabe wanamiliki mpunga harmonize haugusi.
Umesoma engineering kaka pengine hujui mzunguko wa biashara ukoje.
Usimfananishe Anerlisa aliyetajwa kuwa miongoni mwa richest young ladies Africa kiujumla na huyo harmonize anayeongoza kwa wanamuziki tuu utaumia kaka.
Asa dola billion moja na dola million moja ya harmonize ipi kubwa
Mh $ 1 bil mzee?
 
Hilo ni song linakuja hapo,ndani atakuwepo BenPaul,Sheta,Harmonize na Calligraphy..... Refer issue ya Baraka the Prince na R DJ
 
Msenge wewe
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo. Kujenga hoja huwezi unaishia kutukanana na wanawake. Huna tofauti na huyo unayemtetea.. Stahiki zenu nihao ke niliowataja.. ndio mnaendana na watandale nyie
 
We jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....

Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...

Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
Mpee mama ako mmakonde ule uone atakavyo muuuuuuu
 
Yah mkuu katajwa ktk list ya 40 Richest African ladies in Africa asa harmonize wamem classify kwa artist tyuuu halafu angalia na vyanzo vya kipato vya harmonize na anerlisa.
Hapo ndipo utapokuja kugundua hata Manji tajiri kuliko Rihanna au chris brown walioko Ulaya.
Mfanya biashara ni mfanya biashara tyuu kwa siku anatengeneza millions of money kwa kumeet consumption za jamii kwa percent kubwa kuliko huyo harmonize na rihanna mpk watu waingie youtube
Mh $ 1 bil mzee?
 
Back
Top Bottom