Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
267,306
1,090,201
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingi
51934399_177080656598887_7956486633611334567_n(1).jpg
51609159_165736001078636_403379960713569676_n(1).jpg
50777288_500768753786356_5660528310231457333_n.jpg

PICHA PAMOJA : Ben Kinyaiya na Mkewe Katika Private party yao baada ya kufunga Ndoa ❤❤
50295434_124485955276485_2728042367395336823_n.jpg

Enzi za uchumba
50919734_625394587888863_4797429579532940896_n.jpg
 
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!

Kipendacho roho hula nyama mbichi

Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!

Adhabu ya kaburi, aijuae maiti

Siri ya mtungi, aijuae kata!

Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom