Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Ben Kiko kuna kipindi alinifanya nisipende kumiss kipindi cha MAJIRA cha RTD enzi hizo hasa akiwa stesheni ya Dodoma na kisha akahamia Tabora. Taarifa zake zilikuwa na misisimko sana hata watu wengi walifika mahala akimaliza kuongea yeye wanafunga redio kuashiria kipindi kimekwisha siku hiyo. Sijamsikia muda mrefu sana, yuko wapi?????
Ben Kiko alijaliwa kipaji cha kuwavuta wasikilizaji wake na kuwapa haja ya mioyo yao kusikiliza habari. Wakati huo huo kuna mtu ambaye sikutamani hata kusikia sauti yake redioni kwa sababu ya kutangaza habari hasi tu kutokea vituo vya polisi kwa RPC Mbeya (Martha Ngwira) naye hasikiki tena. Au ......??? Tusiseme sana huenda walisharudisha mafaili...... (Mungu anisamehe).
Ben Kiko alijaliwa kipaji cha kuwavuta wasikilizaji wake na kuwapa haja ya mioyo yao kusikiliza habari. Wakati huo huo kuna mtu ambaye sikutamani hata kusikia sauti yake redioni kwa sababu ya kutangaza habari hasi tu kutokea vituo vya polisi kwa RPC Mbeya (Martha Ngwira) naye hasikiki tena. Au ......??? Tusiseme sana huenda walisharudisha mafaili...... (Mungu anisamehe).