who r zis pple?
Huhitaji kuwajua kiundani kaka, ni Kakobe mmoja wa Kimarekani na mkewe wamechafua hali ya hewa Wakristo wake wanalia. Hamna cha zaidi, lakini ndo hivyo tena, Waafrika hatupitwi na ya Amerika, yote yanatuhusu!
Ushasikia Wamarekani wanajadili timbwili lolote la Kakobe wa Mwenge kwenye ma blog yao huko?