Nimesoma gazeti la Mwananchi la leo kuna habari kuhusu Ben Hinn kuachana na mkewe!
Wanasema, walikuwa wamekwisha achana tokea 26th January 2010, ila mkewe anataka waachane kisheria.
Hawajesema chanzo cha ugomvi zaidi ya kudai kutokuelewana kwa muda mrefu, na tofauti zao kushindwa kuwa resolved!
Dini ya kikristo hairuhusu talaka ya aina hii.
Naanza kupata wasiwasi na utumishi wa huyu ndugu!
Wanasema, walikuwa wamekwisha achana tokea 26th January 2010, ila mkewe anataka waachane kisheria.
Hawajesema chanzo cha ugomvi zaidi ya kudai kutokuelewana kwa muda mrefu, na tofauti zao kushindwa kuwa resolved!
Dini ya kikristo hairuhusu talaka ya aina hii.
Naanza kupata wasiwasi na utumishi wa huyu ndugu!