geof_intelegenc
Member
- Nov 13, 2016
- 36
- 7
Angesubiri kidogo c unajua Kuna wimbo wa taifa
Kama hajatajwa dhahiri basi hata nickname zake nyingine "Sio simba sio chui sio Mamba....Hakuna namna unaweza kutaja mafanikio ya muziki wa bongofleva bila ya Diamond...Huna haja ya kuwa na team ili kujua hili.Diamond kafanya mapinduzi makubwa sana kwenye muziki wa kizazi kimpya, yaani amekuwa kama SI unit ya muziki huo, maana kila msanii lazima amkopi, au amtaje au atafute "beef" nae ili aweze kuuza kazi yake
Sawa mkuu.. tutige kik?mkuu nimeelewa ujuekhaa
Tatzo sio wabunifu ndyo kinacho wa coastNatamani wasanii hawa wafike levo ya diamond Jux,bele 9 na Ben pol. Hawa wasanii wazuri sana sema sijui wanakosea wapi.
Belle nine kama akitulia ni msanii mkali sana, kwa sababu ana local na international swag kama wizkid, ana uwezo wakuimba katika beat yoyote kama wizkid ila naona hajatulia, mimi badala ya diamond platnumz huyu ni msanii wangu namba mbili ninaye mkubali.