BelindaJ: Tafadhalli!!!!

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
C/O Mwenyekiti wa E.K
Shule ya Msingi Mtakuja
%5CDocuments%20and%20Settings%5CAdministrator%5CMy%20Documents%5CMy%20Pictures
S.L.P 76
Makelenge Stendi
Mpendwa Belinda,
Kwanza salamu,ama baada ya salam mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kukuuliza swali moja tu linaloniumiza nafsi yangu, mpaka nashindwa kula wala kulala, nikinywa maji najiona kwenye glasi! Hivi hiyo midomo (lipsi) uliyotumia kama avatar yako inachuruzika vitu gani vile?
Asante sana, salamu kwa mjomba, Kaka na Bi Mkubwa.

Wasalaam,


Amoeba

BlndJ.jpeg
 
Vinachuruzika damu ya YESU inenayo mema kulika sadaka ya Abel
C/O Mwenyekiti wa E.K
Shule ya Msingi Mtakuja
S.L.P 76
Makelenge Stendi
Mpendwa Belinda,
Kwanza salamu,ama baada ya salam mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kukuuliza swali moja tu linaloniumiza nafsi yangu, mpaka nashindwa kula wala kulala, nikinywa maji najiona kwenye glasi! Hivi hiyo midomo (lipsi) uliyotumia kama avatar yako inachuruzika vitu gani vile?
Asante sana, salamu kwa mjomba, Kaka na Bi Mkubwa.

Wasalaam,


Amoeba
 
C/O Mwenyekiti wa E.K
Shule ya Msingi Mtakuja
S.L.P 76
Makelenge Stendi
Mpendwa Belinda,
Kwanza salamu,ama baada ya salam mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kukuuliza swali moja tu linaloniumiza nafsi yangu, mpaka nashindwa kula wala kulala, nikinywa maji najiona kwenye glasi! Hivi hiyo midomo (lipsi) uliyotumia kama avatar yako inachuruzika vitu gani vile?
Asante sana, salamu kwa mjomba, Kaka na Bi Mkubwa.

Wasalaam,


Amoeba

AMOEBA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! yaani umenifurahisha tu.... i knew it must be something funny jut form the title..... mmmm na umenikumbusha mabli yaani when we used to write letters........ hofu na mashaka ni kwenu...duh!!!!! mmmm
 
One day a cucumber, a pickle and a penis were having a conversation: The pickle says, 'You know, my life really sucks. Whenever I get fat and juicy, they sprinkle seasonings over and they stick me in a jar.'

The cucumber says, 'Yeah you think that's bad? Whenever I get big fat and juicy, they slice me up and they put me over salad.'

The penis says, 'You think that your lives are tough? Well, whenever I get big, fat and juicy, they throw a plastic bag over my head, shove me in a wet dark, smelly room and force me to do push-ups until I throw up and lose consciousness! ! !'
 
Mleta mada, weka hiyo avatar ya huyo mdada ionekane hazarani basi!!!!...wengine hatujaona inavuja vitu gani!..huh!
 
C/O Mwenyekiti wa E.K
Shule ya Msingi Mtakuja
%5CDocuments%20and%20Settings%5CAdministrator%5CMy%20Documents%5CMy%20Pictures
S.L.P 76
Makelenge Stendi
Mpendwa Belinda,
Kwanza salamu,ama baada ya salam mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kukuuliza swali moja tu linaloniumiza nafsi yangu, mpaka nashindwa kula wala kulala, nikinywa maji najiona kwenye glasi! Hivi hiyo midomo (lipsi) uliyotumia kama avatar yako inachuruzika vitu gani vile?
Asante sana, salamu kwa mjomba, Kaka na Bi Mkubwa.

Wasalaam,


Amoeba

View attachment 12781

Huh!!! Amoeba, ni king'arisho cha lips (lipgloss+lipstick) ila hiyo ilizidi wingi ndio mana kama inatiririka mkuu!! si umewahi kuona wadada wanapaka?ila siyo yakudondoka hivi, zingine zinang'aa au kukolea kwenye lips kwa rangi mbali mbali kutegemeana na lips zao!!..kama hujanisoma vizuri nitakuPM nikuelekeze jinsi ya kupaka au kumpaka mamii wako:)ha ha
Hiyo barua mimi hoi,nakumbuka enzi zile 'mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka juu yako/yenu'..
Wasalimie Makelenge Stendi..

Daima,BJ!!
 
Huh!!! Amoeba, ni king'arisho cha lips (lipgloss+lipstick) ila hiyo ilizidi wingi ndio mana kama inatiririka mkuu!! si umewahi kuona wadada wanapaka?ila siyo yakudondoka hivi, zingine zinang'aa au kukolea kwenye lips kwa rangi mbali mbali kutegemeana na lips zao!!..kama hujanisoma vizuri nitakuPM nikuelekeze jinsi ya kupaka au kumpaka mamii wako:)ha ha
Hiyo barua mimi hoi,nakumbuka enzi zile 'mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka juu yako/yenu'..
Wasalimie Makelenge Stendi..

Daima,BJ!!

ebu tuanze na miye huko PM, Amoeba atakuwa ana do ze nidiful kwenye miili ya watu sasa:becky:
 
C/O Mwenyekiti wa E.K
Shule ya Msingi Mtakuja
%5CDocuments%20and%20Settings%5CAdministrator%5CMy%20Documents%5CMy%20Pictures
S.L.P 76
Makelenge Stendi
Mpendwa Belinda,
Kwanza salamu,ama baada ya salam mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kukuuliza swali moja tu linaloniumiza nafsi yangu, mpaka nashindwa kula wala kulala, nikinywa maji najiona kwenye glasi! Hivi hiyo midomo (lipsi) uliyotumia kama avatar yako inachuruzika vitu gani vile?
Asante sana, salamu kwa mjomba, Kaka na Bi Mkubwa.

Wasalaam,


Amoeba

View attachment 12781

Thanks the real Brainiac for this thread..

at least nimepata smile baada ya fululu-fululu za siasa mbovu za nchi yetu!!! those lips are whack!!! You have reminded me enzi za kuandika barua kwenye decorated and perfumed writing pads

good ol' days
 
ebu tuanze na miye huko PM, Amoeba atakuwa ana do ze nidiful kwenye miili ya watu sasa:becky:

haya, check your pm ASAP..Amoeba anataka maujuzi si umeona ile tundiko lake lingine,nitamfundisha na kupaka rangi vidoleni ha ha
 
Wooohps!!!Nisiku nyingi S.L.P 60 KYAKA BUKOBA VERY FANTASITIKI AN COCACOLASTIKI!!!!:becky:
 
Huh!!! Amoeba, ni king'arisho cha lips (lipgloss+lipstick) ila hiyo ilizidi wingi ndio mana kama inatiririka mkuu!! si umewahi kuona wadada wanapaka?ila siyo yakudondoka hivi, zingine zinang'aa au kukolea kwenye lips kwa rangi mbali mbali kutegemeana na lips zao!!..kama hujanisoma vizuri nitakuPM nikuelekeze jinsi ya kupaka au kumpaka mamii wako:)ha ha
Hiyo barua mimi hoi,nakumbuka enzi zile 'mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka juu yako/yenu'..
Wasalimie Makelenge Stendi..

Daima,BJ!!

Duh! hapo umenitoa wasi, nilkuwa najiuliza hii kitu gan mama. Ugeni wa mambo haya ndugu, nasubiri PM yako ili unitoe gizani zaidi. senks!
 
Thanks the real Brainiac for this thread..

at least nimepata smile baada ya fululu-fululu za siasa mbovu za nchi yetu!!! those lips are whack!!! You have reminded me enzi za kuandika barua kwenye decorated and perfumed writing pads

good ol' days

Mkuu watoto wa sku hizi wamekosa mambo sana! Enzi hizo ijumaa siku ya kusoma barua parade, mwanaume bila kupata barua yenye bahasha ya pink na maua mekundu Bado hujawa MAARUFU! dU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom