TUNASTAHILI KWAPONGEZA JUMA NYOSO NA KELVIN YONDANI pia na MWASIKA plus nahodha. Tuache u simba na yanga, kweli beki zilitulia kuanzia siku ya uganda, kwazibiti kabisa uganda kama Emma Ukwi. Kweli kama hawa vijana umri wao bado una range 20 - 26 wanafanye mazoezi asbh, mchana na jioni watayaona matunda.
Hongera Stars, Kikubwa sasa kocha wetu ashugukie striker hatuna kabisa???
Hongera Stars, Kikubwa sasa kocha wetu ashugukie striker hatuna kabisa???