Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Ukikumbuka kinga?Beki 3 wangu nilikuwa namtazama kwa jicho la husda kitambo sana, ila jana usiku wife alienda kwenye sherehe gani sijui ikabidi nitumie mwanya huo kumtafuna.
Nikaenda chumbani kwake, nikamchombeza nikaanza kumshika shika akasema ila akijua dada shauri yako.
Baada ya kutamka hivyo alitafunwa pale pale, nikaoga vizuri nikarudi chumbani kwangu nikalala kama hakijatokea kitu vile.
Sitaki michepuko ya nje kwakuwa ni gharama sana, huyu beki 3 ndio atakuwa mchepuko wangu wa kudumu. Sihudumii nywele wala kodi ya nyumba.
"Hamna beki 3 mgumba"