BEKI 3 aleta maafa

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
481
Da shida sana. Jana tumechoka sana tulikuwa na kesi ya mshikaji wangu fulani hivi.
Mke wa huyo rafiki yangu kamshitaki mr kuwa amemdoo HG wao. Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku. Kwa kusema ukweli hakukataa kuwa alimdoo ila alisema kuwa uvumilivu ulimshinda akafikia kufanya na huyu binti. Mkuu anasema kuwa huyu binti alimpa mchezo ambao umemwaribu akili. Akaendelea zaidi kwa kusema hata wazee walioko hawataweza kuvumilia wakiona hilo tunda changa. Si wazee wakasema huyo HG yuko wapi. Mama mwenyenyumba akaenda kumwita bwana! We acha utani binti ni mzuri ile mbaya! hapo kati ya kichwa na miguu mashallah aahhh asikwambie mtu bwana. Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.
 
hahahha polen
-kapewa mchezo uliomwaribu akil siyo?alivaaa kinga?
lakin km jamaa amekiri basi poa mama amsamehe tu baba na wampime hg km ana mimba ama lah iliwajue jins ya kumsaidia
- hg pia aulizwwe km anampenda bab au alifanya kwa kulazimishwa au alitoa mzgo kwa kuogopa uyu ni boss wangu....
-hg arudishwe aliokotoka
BT KM KAADMIT BAS BABA ASEMEHEWE cz ata km mama akikomaa kununa haisaidii kwan uko kooooooote jamaa anakochapa mama anajua?basi ni jambo la kusameheana tu....ila km akiona wanaendelea bado iyo ni kashda nyingne tena
 
Ha Jamaa ka declare kuwa haachi hata iweje. HG hata wakati anaenda kupelekwa stendi hakuwa na hata wacwac. Hilo la kinga cjui ila jamaa ndo keshakolea anasema mama aendelee na siasa tu hamna taabu.
 
Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.

Haya ni matunda na athari za kampeni.........................Hata huyo mke wake hatujui huko mbugani yalimkuta yapi....................
 
Afadhali muda ule mahausigeli walivokuwa wanatoka Iringa/Mbeya hawa wa Singapore(Singida) wameleta balaa nyumba nyingi,vitoto vyeupe shepu balaa na sauti usiseme.
 
Afadhali muda ule mahausigeli walivokuwa wanatoka Iringa/Mbeya hawa wa Singapore(Singida) wameleta balaa nyumba nyingi,vitoto vyeupe shepu balaa na sauti usiseme.

Aaah Diana.....................SINGAPORE ni braaaaaaaaaa! Yaani nyie acheni tu! mimi nimeamua kuipiga stop hamna kuleta Beki 3 home!...........I love my wife bana!:smile::smile::smile:
 
Aaah Diana.....................SINGAPORE ni braaaaaaaaaa! Yaani nyie acheni tu! mimi nimeamua kuipiga stop hamna kuleta Beki 3 home!...........I love my wife bana!:smile::smile::smile:

Dawa sio kupiga stop b3 bali kumleta aaafu ushinde vishawishi. Ukiweza kuhimili basi ndo tataamini unampenda Waziri wako.
Kuna wakati cc wanaume hatuwapendi wake zetu ila tunawaogopa na zaidi kuheshimu ndoa zetu.
 
Da shida sana. Jana tumechoka sana tulikuwa na kesi ya mshikaji wangu fulani hivi.
Mke wa huyo rafiki yangu kamshitaki mr kuwa amemdoo HG wao. Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku. Kwa kusema ukweli hakukataa kuwa alimdoo ila alisema kuwa uvumilivu ulimshinda akafikia kufanya na huyu binti. Mkuu anasema kuwa huyu binti alimpa mchezo ambao umemwaribu akili. Akaendelea zaidi kwa kusema hata wazee walioko hawataweza kuvumilia wakiona hilo tunda changa. Si wazee wakasema huyo HG yuko wapi. Mama mwenyenyumba akaenda kumwita bwana! We acha utani binti ni mzuri ile mbaya! hapo kati ya kichwa na miguu mashallah aahhh asikwambie mtu bwana. Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.

BOLD..When nature and reality outpower wisdom.......inabidi upotezeee tu...!!
RED.... No comment
 
hahahha polen
-kapewa mchezo uliomwaribu akil siyo?alivaaa kinga?
lakin km jamaa amekiri basi poa mama amsamehe tu baba na wampime hg km ana mimba ama lah iliwajue jins ya kumsaidia
- hg pia aulizwwe km anampenda bab au alifanya kwa kulazimishwa au alitoa mzgo kwa kuogopa uyu ni boss wangu....
-hg arudishwe aliokotoka
BT KM KAADMIT BAS BABA ASEMEHEWE cz ata km mama akikomaa kununa haisaidii kwan uko kooooooote jamaa anakochapa mama anajua?basi ni jambo la kusameheana tu....ila km akiona wanaendelea bado iyo ni kashda nyingne tena

Afu............ Rosie ... sikuhizi mmekuwa na mawazo kwamba tunachapo hovyo kila mahali, hapa si umeona mwenye, huko kwenye kampeni
si unajua mambo yake .............. mzigo lazima uchabwe mheshimiwa akiuhitaji
 
hahahha polen
-kapewa mchezo uliomwaribu akil siyo?alivaaa kinga?
lakin km jamaa amekiri basi poa mama amsamehe tu baba na wampime hg km ana mimba ama lah iliwajue jins ya kumsaidia
- hg pia aulizwwe km anampenda bab au alifanya kwa kulazimishwa au alitoa mzgo kwa kuogopa uyu ni boss wangu....
-hg arudishwe aliokotoka
BT KM KAADMIT BAS BABA ASEMEHEWE cz ata km mama akikomaa kununa haisaidii kwan uko kooooooote jamaa anakochapa mama anajua?basi ni jambo la kusameheana tu....ila km akiona wanaendelea bado iyo ni kashda nyingne tena

Kweli masikini hana haki hapa duniani, yaani mtoto wa watu kachezewa tena pengine kwa kubakwa, halafu mwisho wa siku mnamrudisha KIJIJINI utafikiri yeye ndio mwenye makosa. Ee Mungu sikiliza kilio cha ma-house girl na watoto hawa waliokosa fursa ya kuendelezwa! Na nyie wazee mnaofanya huo ufirauni, si muende kwa machangu mbona wako wengi tu na siku hizi kwa kuwa supply imeongezeka price nayo imeshuka sana, kuna mpaka wa bao moja sh. 500 sasa shida iko wapi?
 
Da shida sana. Jana tumechoka sana tulikuwa na kesi ya mshikaji wangu fulani hivi.
Mke wa huyo rafiki yangu kamshitaki mr kuwa amemdoo HG wao. Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku. Kwa kusema ukweli hakukataa kuwa alimdoo ila alisema kuwa uvumilivu ulimshinda akafikia kufanya na huyu binti. Mkuu anasema kuwa huyu binti alimpa mchezo ambao umemwaribu akili. Akaendelea zaidi kwa kusema hata wazee walioko hawataweza kuvumilia wakiona hilo tunda changa. Si wazee wakasema huyo HG yuko wapi. Mama mwenyenyumba akaenda kumwita bwana! We acha utani binti ni mzuri ile mbaya! hapo kati ya kichwa na miguu mashallah aahhh asikwambie mtu bwana. Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.

Wasema zafanana lakini wee msikilize huyu babu kwenye red. Mapishi tofauti au matumizi??
 
Ha Jamaa ka declare kuwa haachi hata iweje. HG hata wakati anaenda kupelekwa stendi hakuwa na hata wacwac. Hilo la kinga cjui ila jamaa ndo keshakolea anasema mama aendelee na siasa tu hamna taabu.
ewe mangi neewe kweifo yo moondu nyeto lyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom