Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Da shida sana. Jana tumechoka sana tulikuwa na kesi ya mshikaji wangu fulani hivi.
Mke wa huyo rafiki yangu kamshitaki mr kuwa amemdoo HG wao. Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku. Kwa kusema ukweli hakukataa kuwa alimdoo ila alisema kuwa uvumilivu ulimshinda akafikia kufanya na huyu binti. Mkuu anasema kuwa huyu binti alimpa mchezo ambao umemwaribu akili. Akaendelea zaidi kwa kusema hata wazee walioko hawataweza kuvumilia wakiona hilo tunda changa. Si wazee wakasema huyo HG yuko wapi. Mama mwenyenyumba akaenda kumwita bwana! We acha utani binti ni mzuri ile mbaya! hapo kati ya kichwa na miguu mashallah aahhh asikwambie mtu bwana. Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.
Mke wa huyo rafiki yangu kamshitaki mr kuwa amemdoo HG wao. Mama alikuwa kwenye kampeni kwa kipindi kirefu hivyo mzee akawa anarudi home mwenyewe kila siku. Kwa kusema ukweli hakukataa kuwa alimdoo ila alisema kuwa uvumilivu ulimshinda akafikia kufanya na huyu binti. Mkuu anasema kuwa huyu binti alimpa mchezo ambao umemwaribu akili. Akaendelea zaidi kwa kusema hata wazee walioko hawataweza kuvumilia wakiona hilo tunda changa. Si wazee wakasema huyo HG yuko wapi. Mama mwenyenyumba akaenda kumwita bwana! We acha utani binti ni mzuri ile mbaya! hapo kati ya kichwa na miguu mashallah aahhh asikwambie mtu bwana. Jamaa akamalizia SASA WAZEE WANGU HUYU BINTI AKUVALIE KANGA MOJA AKUFUNGULIE MLANGO USIKU NA WEWE UNAHITAJI HUDUMA YA MAMA NA HAYUKO UNAFANYAJE? Wazee wakakaa kimya mwisho wakamwambia USIRUDIE TENAKULA HAPO! Mzee kanambia liwalo na liwe ila haachi hii kitu. Yuko tayari hata mama anataka kuondoka wacha iwe tu. Jamaa anajiandaa kufata mzigo hukohuko kijijini.