NG'ADA
Senior Member
- Sep 2, 2011
- 152
- 15
un BF wako, kutokana na majukumu inatokea mnakua na "long distant relationship"...mnapendana sana na ww binafsi hutaki kumpoteza...unapatwa na wazo la kutokumuamini labda kutokana na yeye kuwa kimya kidogo tu,..ila mkiwasiliana anasema "everything is fine and stuff, that he was jus tired" na unajaribu kum-trap kwa kutumia namba nyingine ya simu kwa kumtumia msg za kimapenzi, kidume kinarespond positively, anasema yuko "single" na anaomba umtumie na picha zako!!!!utachukua uamuzi gani?
hata kaka kama unamchango tupia....
hata kaka kama unamchango tupia....