pacha mi hata nisingempiga,labda atajifunza
kama hiyo haki sawa wote wamepewa na God then kila society duniani wanaume na wanawake ni haki sawa?wanawake wanapata haki sawa?
Watu kutopewa haki sawa katika jamii zao haimaanishi hizo haki si zao na kwamba hawazistahili.
Basic human rights are fixed at birth.
They are not given to people by some conference like the one which was held in Beijing in 1995.
They are not given because they are already there.
Hahaha kama mimi ndo ningempa bonge la bao...
tabia mbaya hiyo
Niambie mimi baby
hahaha acha wivu lol
haha hayaNiambie nikusimulie story nzuri
nisamaraizie ..........
View attachment 206184
Walikua ni abiria waliosimama kwenye basi baada ya kukosa seat, ni mwanamke na mwanaume. Ghafla gari likapita kwenye mashimo hivi na kwa bahati mbaya mwanaume alimgusa au kumsukuma mwanamke. Demu kageuka na kibao kama vile yule jamaa alifanya makusudi.
View attachment 206184
View attachment 206188
Jamaa anajiuguza mauvivu hapa.
View attachment 206189
Safari haijaisha demu kajakumsukumu jamaa yuleyule nae pia ni bahati mbaya.
View attachment 206190
Mshkaji hajamuuliza nae kampa mbata yaukweli....
View attachment 206191