habibu mshana
New Member
- Dec 13, 2016
- 4
- 0
Mimi naomba kujua bei ya mashine hizo za kutumia mafuta ni bei gani
Mkuu kwa uzoefu wako ni mashine za brand ipi, yenye capacity kiasi gani, namba/rollers ngapi, size ya bati zake unaweza kuipendekeza kutokana na ufanisi wake? Pia nzuri zaidi ni zile locally made or imported? Pia kwa kuzingatia ulaji wake wa umeme na durability, price range, wauzaji kwa Dar etc. Nitashukuru kupata msaada wako.Ni pm kama uko seriouz,mi ninazo imara na zenye ufanisi wakutosha,lakini pia nitakupa muongozo wa biashara hizi za mashine(uzalishaji na usambazaji wa unga) kwani pia nimezifanya kwa kipindi kirefu,naweza kukupa changamoto na pia faida kwa kina.Karibu!
36mUnamaamisha ni milioni tatu nukta sita (3.6mil) au milioni thelathini na sita(36mil)?