maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,050
- 14,931
Wakuu 'Posuta'
Mi ni mdau ninaetaka kuhamia Karatu hivi karibuni kikazi..ila pamoja na hayo mi ni mjasiliamali kwenye kilimo na ufugaji hivyo nataka kujua bei za mashamba kwa huko zipoje kwa ekari na pia fursa zingine za kilimo na ufugaji kwa huko.
Mi ni mdau ninaetaka kuhamia Karatu hivi karibuni kikazi..ila pamoja na hayo mi ni mjasiliamali kwenye kilimo na ufugaji hivyo nataka kujua bei za mashamba kwa huko zipoje kwa ekari na pia fursa zingine za kilimo na ufugaji kwa huko.