Mkuu kuna gunia ya mkenya na ile ya magufuliwacha wakulima wafaidi.vp kwenye gunia ya kl 100 kwa wastani zinaingia vitunguu vingapi
Ujue mama yako ni kke wangu, unamtukana baba yakonaona imekuingia kunako **** . Pole sana vumilia
Unafkiri vitachambuliwa jui?! Au haujawahi kuona jinsi vitunguu na mang'ana hutenganishwa?!
Nisaidie, mang'ana ni nini?na ni lazima wachambulie sokoni?Unafkiri vitachambuliwa jui?! Au haujawahi kuona jinsi vitunguu na mang'ana hutenganishwa?!
Of course ni uwanja wenye office za soko na vyoo napafahamu vizuri sanaNisaidie, mang'ana ni nini?na ni lazima wachambulie sokoni?
Angalau wangejenga sakafu iliyonyanyuka maana hili soko kipindi cha mvua maji na tope hujaa na vitunguu huoza mara kadhaa nimewaona kwenye vyombo vya habari wakilalamika,
kifupi hili soko ni uwanja tu hata sehemu ya kujikinga mvua na jua hamna,hamna uzio,Hadhi ya Kimataifa halina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe...betri lowInnocent Bashungwa come this way......
Usisahau kuwa miomgoni mwa tiba mbadala za covid19 ni kitunguu maji, sasa sie tia maji tia maji wa betri low tukikosa kitunguu ndani idadi ya vifo vya matatizo ya upumuaji itaongezeka sana.
NB: MNAOJUFUKIZA TUMIENI NA VITUNGUU NI DAWA YA MIAKA MINGI YA MAFUA NA KIFUA..
Hehehe...betri low