Bei ya vitu imepanda sababu ya shinikizo la kutoa risiti za VAT

Nokchuno

Senior Member
Jun 25, 2016
101
94
Kama unasafiri tokea Arusha kuelekea dar, kokote utakapokula utagundua chakula kimepanda kwa buku soda kwa jero... Ni kwasababu hiyo buku na hiyo jero ni vat. Sasa asikudanganye mtu kwamba wafanyabihashara watagawana faida yao na serikali. Wafanyabihashara ni mawakala tu wa serikali katika kukusanya kodi, HAKUNA NJIA NYINGINE NI KUWAKAMUA TUU WANA WA NCHI, HADI MAISHA BORA KWA KILA MTZ YAJE.
aadea0b725b3dd0c8baa8b6fee0f73fc.jpg
 
Kama unasafiri tokea Arusha kuelekea dar, kokote utakapokula utagundua chakula kimepanda kwa buku soda kwa jero... Ni kwasababu hiyo buku na hiyo jero ni vat. Sasa asikudanganye mtu kwamba wafanyabihashara watagawana faida yao na serikali. Wafanyabihashara ni mawakala tu wa serikali katika kukusanya kodi, HAKUNA NJIA NYINGINE NI KUWAKAMUA TUU WANA WA NCHI, HADI MAISHA BORA KWA KILA MTZ YAJE.
aadea0b725b3dd0c8baa8b6fee0f73fc.jpg
MAENDELEO MNATAKA,KODI HAMTAKI KULIPA.MAAJABU YA MTU MWEUSI.
 
Mi kiukweli nimeacha chukua risiti maana hazinisadiii kitu
Zaidi kuongeza bei
Yaani kitu cha 50000 nitoe 60000 kisa vat
 
Kama unasafiri tokea Arusha kuelekea dar, kokote utakapokula utagundua chakula kimepanda kwa buku soda kwa jero... Ni kwasababu hiyo buku na hiyo jero ni vat. Sasa asikudanganye mtu kwamba wafanyabihashara watagawana faida yao na serikali. Wafanyabihashara ni mawakala tu wa serikali katika kukusanya kodi, HAKUNA NJIA NYINGINE NI KUWAKAMUA TUU WANA WA NCHI, HADI MAISHA BORA KWA KILA MTZ YAJE.
aadea0b725b3dd0c8baa8b6fee0f73fc.jpg
Lipa kodi ili itumike kukuhudumia wewe na wananchi wenzako, kila mtu analipa kodi wewe mlaji wa huduma au bidhaa na mfanyabiashara, kama vitu vimepanda kwa sababu ya utaratibu wa kulipa kodi, hapo ndio patamu sasa maana kila mtu atamkaba mwenzake, wewe mlaji wa mwisho wa huduma au bidhaa dai huduma au bidhaa bora kwa sababu unailipia kodi,
Halikadhalika idai serikali ikuhudumie...tena huduma bora siyo bora huduma twende hivyo mwana tuone nani atachemka katika huo mpambano.
 
Kuna wakati nilinunua idhaa ya elfu thelathini muuzaji akanipa risiti ya elfu 15! Eti yakubebea huo mzigo.

nt from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Maendeleo mnataka na mishahara mnataka muongezewe lakini kodi kulipa na kudai risiti mnaona shida!

Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa....lipa kodi mishahara ipande.
hivi umeelewa alichoandika mtoa mada au akili za mwendokasi
 
Mfanya biashara anakwepa kodi zigo ana mpa mlaji je nani ana mlinda mlaji wa mwisho kulipa kodi n jambo jema ila mwananchi anategemea aone kodi yake ikimletea maendeleo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom