hamisi nondo
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 192
- 172
Hivi voda huduma yao ya vifurush vya chuo ikoje,,maana kula nikijiunga haikubali au mpaka uwe mwana chuo
Daah ila mb za voda zinaenda kama unamwaga maji chin vileeendio maana mm nnatumia voda tsh 2000 gb3 kw siku 5 na kasi ya 4g.... mtandao ukiwa slow nna hamia airtel gb2 kw siku 3 na dk 100 aitel to airtel na dk 10 mitandao yote...
Mkuu hii unajiungaje?.Mkuu! tumia Airtel iko vizuri sana
Tsh 1000/= unapata GB 2 muda wa matumizi siku 3 pia wanakupa DK 100 Airtel-Airtel na DK 10 mitandao yote.
Ndiyo,Lazima uwe mwanachuo.Hivi voda huduma yao ya vifurush vya chuo ikoje,,maana kula nikijiunga haikubali au mpaka uwe mwana chuo