Bei ya Vifurushi itamuondoa mtu next week..

Ndungulile ana mamlaka ya kusema simamisha hiyo kitu kwànza tupate ufumbuzi wa malalamiko haya. Kutofanya hivyo, atumbuliwe Jumanne
 
Mtoa mada kama nimekulewa hv,yaan wanatengeneza tatizo ili baadae aje mkuu wa nchi abadilishe yaan awe upande waWANYONGE.Ili tumpe HEKO.
Hawa mkuu tangu zamani hii mipango ilikuwepo km mtu alikua anawaza kutoza whatsapp call unashangaa bundle kupanda ......kigamboni oyeeeee...
 
Ndugulile anaweza kushangaa anapishana na Paul makonda , akabaki na ubunge wake na Makonda akabaki na uwaziri..
 
Nafahamu kwamba huu mchakato wa kupandisha gharama za vifurushi ulianza tangia zamani, nafahamu pia moja ya mbinu za kisiasa ni kutengeneza tatizo na kulitatua mwenyewe hata kama ulikuwepo kwenye jopo la waliofanya maamuzi kufikia kupatikana kwa tatizo hilo.

Serikali ina kiongozi mpya ambaye pamoja na yote lazima aonyeshe amesimama upande wa watu wengi wanaolalamika kwa upandaji holela wa vifurushi ambao sio tuu utainyima serikali mapato bali utarudisha watu nyuma kutoka katika matumizi ya TEHAMA , kwa maana nyingine atajitenga na maamuzi ya kupandisha vifurushi.

Hivyo natabiri kuwa kuna vichwa vinaenda kuliwa pale TCRA na Wizara ya mawasiliano, maboss wote wanaohusika na haya maamuzi wajiandae, hii pasaka itakuwa pasaka yao ya mwisho kama maboss au viongozi wa sehemu husika..

Kama ni wajanja wachukue hatua za mapema sana kuonyesha wamesimama upande wa watu ili waokoe nafasi zao za kisiasa, kwani atakayeliwa kichwa hapa ndio atakuwa amekufa kisiasa na kiutumishi.
I miss magufuli
 
Competition kwenye Biashara inaweza kuwana factors kuu kama sita hivi ILA kubwa na sensitive kuliko vyote ni Price (bei/gharama))
sasa unapoingilia bei ya bidhaa inayotumiwa na watu wengi hasa vijana wa karne hii, inahitaji kuangalia kwa undani
kwani inaweza isiwe na mapokeo mazuri kwenye soko.........
 
Nafahamu kwamba huu mchakato wa kupandisha gharama za vifurushi ulianza tangia zamani, nafahamu pia moja ya mbinu za kisiasa ni kutengeneza tatizo na kulitatua mwenyewe hata kama ulikuwepo kwenye jopo la waliofanya maamuzi kufikia kupatikana kwa tatizo hilo.

Serikali ina kiongozi mpya ambaye pamoja na yote lazima aonyeshe amesimama upande wa watu wengi wanaolalamika kwa upandaji holela wa vifurushi ambao sio tuu utainyima serikali mapato bali utarudisha watu nyuma kutoka katika matumizi ya TEHAMA , kwa maana nyingine atajitenga na maamuzi ya kupandisha vifurushi.

Hivyo natabiri kuwa kuna vichwa vinaenda kuliwa pale TCRA na Wizara ya mawasiliano, maboss wote wanaohusika na haya maamuzi wajiandae, hii pasaka itakuwa pasaka yao ya mwisho kama maboss au viongozi wa sehemu husika..

Kama ni wajanja wachukue hatua za mapema sana kuonyesha wamesimama upande wa watu ili waokoe nafasi zao za kisiasa, kwani atakayeliwa kichwa hapa ndio atakuwa amekufa kisiasa na kiutumishi.
asenteeee... ungegusia na tweeter yetu irudishweeee tuachane na ma VPN tuwe taifa huru kimawasiliano
 
Kwani wakati ndungulile anatangaza alikuwa kaishakufa?
Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe oooh mara sijui mazungumzo mezani tupange.
Huu ubishi wa haya makampuni usingekuwepo
Yule jamaa alikua hataki utani utani
 
www.freebasic.com
Hapo utapata
1.Jamii forum
2.BBC swahili
3.BBC world news
4. Wikipedia
Na vingine vingi for free (Totally free) kupitia Halotel.
Hapo nitakuwa naunga bando kwa issue maalum tu.

Ila pole kwa wanaotegemea internet kuingiza kipato.
Mkuu mbona sioni jamii forum?
 
Nafahamu kwamba huu mchakato wa kupandisha gharama za vifurushi ulianza tangia zamani, nafahamu pia moja ya mbinu za kisiasa ni kutengeneza tatizo na kulitatua mwenyewe hata kama ulikuwepo kwenye jopo la waliofanya maamuzi kufikia kupatikana kwa tatizo hilo.

Serikali ina kiongozi mpya ambaye pamoja na yote lazima aonyeshe amesimama upande wa watu wengi wanaolalamika kwa upandaji holela wa vifurushi ambao sio tuu utainyima serikali mapato bali utarudisha watu nyuma kutoka katika matumizi ya TEHAMA , kwa maana nyingine atajitenga na maamuzi ya kupandisha vifurushi.

Hivyo natabiri kuwa kuna vichwa vinaenda kuliwa pale TCRA na Wizara ya mawasiliano, maboss wote wanaohusika na haya maamuzi wajiandae, hii pasaka itakuwa pasaka yao ya mwisho kama maboss au viongozi wa sehemu husika..

Kama ni wajanja wachukue hatua za mapema sana kuonyesha wamesimama upande wa watu ili waokoe nafasi zao za kisiasa, kwani atakayeliwa kichwa hapa ndio atakuwa amekufa kisiasa na kiutumishi.
Hao mnawalaumu bure tu na hawawezi kufukuzwa kwani serikali ndio imeowaongezea kodi wao wafanye nini??ndio maana huwezi sikia tamko la serikali kwenye hili kwani wanajua walichokifanya, na meko siku zote aliona mitandao ni adui wake!!cha kufanya labda serikali iondoe kimya kimya hizo kodi ilizoongeza ndio wa wawapige mkwala kushusha.lakini hilo ni gumu kufanyika.
 
😂😂😂Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe oooh mara sijui mazungumzo mezani tupange.
Huu ubishi wa haya makampuni usingekuwepo
Yule jamaa alikua hataki utani utani
Unampa sifa za kijinga , vifurushi vilikua vinapanda bei na alikua yupo madarakani.
 
Haya sasa wamesitisha vifurushi vya data, huu uzi umewastua baadhi ya maboss huko TCRA
 
Back
Top Bottom