Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,814
- 18,803
mbona hiyo bei ndio bei ya siku zote?
upo mkoa gani? maana kwa DSM bei ni hyo tangia miaka na miakaMbona hii muda mrefu sana! Mwezi uliopita nimenunua umeme wa sh 9000 nimepata unit 25. Nilidhani masikhara sikuamini amini yaani.
Jamaa wanatukomoa wanajua hatuna la kufanyahaya ni madhara ya CCM kuiba kura…………...
Ki uhalisia ilitakuwa kushuka badala ya kupanda. Bwawa la Mwalimu Nyerere linalenga kushusha bei na kuongeza ufanisi kwenye uzalishaji na huduma, wewe hulioni hili wakati mtoto wa grade IV analiona?Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii
Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.
Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.
Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
Mama na Waziri wake wanaupiga mwingi sana.Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii
Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.
Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.
Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
ILI ISISUMBUE CHEJI BEI INGEKUWA SH.1000 kwa UNITBei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii
Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.
Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.
Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
Hapana , hatukejeliMbona kama kejeli kwa waziri
Juzi nimeweka umeme wa Tsh 10500 nikapata unit 24, I felt weird so badKwa shingapi kwa unit moja tuanzie apo
Umeme tunauza Bei chini sana, tofauti na Marekani Bei yao ni kubwa