Bei ya Umeme yapanda. Naipongeza Serikali kwa kuliona hili bei ilikuwa ndogo sana

Status
Not open for further replies.
Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii

Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.

Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.

Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
Ki uhalisia ilitakuwa kushuka badala ya kupanda. Bwawa la Mwalimu Nyerere linalenga kushusha bei na kuongeza ufanisi kwenye uzalishaji na huduma, wewe hulioni hili wakati mtoto wa grade IV analiona?
Mnachelewesha bwawa hilo la umeme ili mpige sio?
Halafu kuna wale wanaojiunganishia umeme au kucheza na LUKU na kupata units kutoka kwa wanunuzi wengine, je wewe ni mmoja wao?
 
Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii

Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.

Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.

Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
Mama na Waziri wake wanaupiga mwingi sana.
 
badala ya kujadili vitu muhimu kama hivi wabunge wa CCM wameishia kupiga sarakasi na kufanya vioja vingine ndani ya bunge, huku spika, Waziri mkuu na wazari wengine wakicherekea
 
Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii

Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.

Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.

Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
ILI ISISUMBUE CHEJI BEI INGEKUWA SH.1000 kwa UNIT

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mbona hii muda mrefu sana! Mwezi uliopita nimenunua umeme wa sh 9000 nimepata unit 25. Nilidhani masikhara sikuamini amini yaani.
Weka screenshot ya umeme ulionunua alafu nikuambie unit moja ilikua sh ngapi. Ili tusibishane sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom