Bei ya sukari imepanda africa mashariki yote na serikali ya Tanzania imeshachukua hatua ya kuruhusu makampuni kuagiza sukari nje ili kupambana na upungufu huu,
Sukari iliyoagizwa haitakatwa kodi ili kuifanya bei yake kuwa chini kuwezesha mwananchi wa kawaida kununua.
Uganda bei ya sukari ni sh 5000 hadi 6000 kwa jiji la kampala,na sh 8000 nje ya kampala.
Kenya sukari yauzwa sh 200 ambayo ni sawa na sh 3600 za kitanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.