Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Kiwanda cha Dangote kinachozalisha Saruji kilichopo mkoani Mtwara, kilisimamisha uzalishaji wa Saruji kwa takribani wiki mbili ili kufanya usafi na ukarabati wa kiwanda.
Imedaiwa kuwa hali hiyo ilifanya bei ya Saruji ipae kiasi cha wananchi kulalamikia bei hizo. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa alitembelea Kiwandani hapo ili kujua kinachoendelea.
Mwanasheria wa kiwanda hicho, Clagu Chuma ameomba radhi kwa kutotoa taarifa kwa raia hali iliyopelekea bei kupanda kwa kasi kubwa.
Bei ya Saruji ilipanda hadi kufikia Tsh 35,000 kwa baadhi ya mikoa.
PIA SOMA: Wanyonge wenzangu: Bei ya Saruji huko kwenu ipo vipi?
Imedaiwa kuwa hali hiyo ilifanya bei ya Saruji ipae kiasi cha wananchi kulalamikia bei hizo. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa alitembelea Kiwandani hapo ili kujua kinachoendelea.
Mwanasheria wa kiwanda hicho, Clagu Chuma ameomba radhi kwa kutotoa taarifa kwa raia hali iliyopelekea bei kupanda kwa kasi kubwa.
Bei ya Saruji ilipanda hadi kufikia Tsh 35,000 kwa baadhi ya mikoa.
PIA SOMA: Wanyonge wenzangu: Bei ya Saruji huko kwenu ipo vipi?