kitomari xxiv
JF-Expert Member
- Sep 26, 2021
- 1,275
- 12,218
Morogoro tuko kwenye 8000 tuna kama mwezi hiviKumekua na mfumuko wa bei wa vitu,ila Leo tujuzane kuhusu nyama,hapa Tabora vijijini kilo tsh 6000.Tabora mjini kg moja tsh 7000.Huko kwenu VIP?
hapa chemchemu tunakula malapu lapu tuKumekua na mfumuko wa bei wa vitu,ila Leo tujuzane kuhusu nyama,hapa Tabora vijijini kilo tsh 6000.Tabora mjini kg moja tsh 7000.Huko kwenu VIP?