Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uweke hapa wote tunufaike!Nimekupm hebu cheki messaging inbox
Acha upumbavu wewe ulitaka azungumzie nn si bora huyu anayeulizia bei ya mbazi au ulitaka aulizie bei ya mchele wa plastic?!!Duh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Unafahamu hi-tech wewe? Namsifu ametumia social media for marketing, tofauti na hapo angetembea mpaka mpaka Dar kutafuta soko. Acha kuwaza kitotoDuh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Mkuu acha kujifanya mjuaji......Hakuna sehemu yoyote duniani wasipozungumzia kilimo....Duh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Mbaazi si kwaajili ya mboga tu. Mbaazi ni km unavyoona korosho, mihogo, Nazi na karanga. Wewe unadhani vile zinalimwaga nyingi na wahindi wana nunua na kusafiRisha unadhani ni kwaajili ya kula tu.? Hizo upelekwa viwandani na kuzalisha bidhaa zengine.Huku kwetu havinaga soko kabisa na hatulagi,,,ulizie dar kwenye shida huko ya vyakula
Weka hapa taarifa wanufaike wengi hizi pm za nn mkuu?Nimekupm hebu cheki messaging inbox
Kama imeuma sana pole.Asante Kiongozi.
Imeuma? Matusi? Wala hayanipi shida! Sikimibizani na mwendawazimu mimi.Kama imeuma sana pole.
Duh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Mkuu kula mbaazi sio shida ya chakula, nyingi zinasafirishwa kwenda nchi za Asia na ulaya, huko nako kuna shida ya chakula?Huku kwetu havinaga soko kabisa na hatulagi,,,ulizie dar kwenye shida huko ya vyakula
Mkuu nafikiri haujaelewa huu uzi. Maana sidhani kama kuna hi-tech bila watu kula na malighafi.Duh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.